Mastermimd (@emmashashi) 's Twitter Profile
Mastermimd

@emmashashi

account and finance
master mind, believe in yourself
Muombe Mungu kila siku

ID: 2772081771

calendar_today16-09-2014 10:36:09

3,3K Tweet

10,10K Followers

6,6K Following

SpotiMasta (@spotimasta) 's Twitter Profile Photo

"PENZI LA MAMA WA KAMBO πŸ₯°">>>13 Ilipoishia.....Hatimae nilifika hadi mlangoni na nikasukuma na kwa bahati mzuri mlango hawakufunga.....!!! Nini hiki unafanya !!? nilimuuliza kwa hasira huku natetemeka kwa hasira na sii uwoga..... endelea.....

"PENZI LA MAMA WA KAMBO πŸ₯°">>>13
Ilipoishia.....Hatimae nilifika hadi mlangoni na nikasukuma na kwa bahati mzuri mlango hawakufunga.....!!! Nini hiki unafanya !!? nilimuuliza kwa hasira huku natetemeka kwa hasira na sii uwoga..... endelea.....
PAPI🍁 (@crspuppi) 's Twitter Profile Photo

SEHEMU YA 08 KITANDA CHA MPANGAJI Mtunzi Sweet Maama Mtayarishaji @ChrispinML ILIPOISHIA..... Nyie mabinti wa mjini mnajidai mnajua kuchezea watoto wa watu kwa kuwaloga ili mmiliki mali zao.. Sasa kwa huyu Mgongo wa Dodoma naomba usahau hilo.. Mali ya

SEHEMU YA 08

KITANDA CHA MPANGAJI

Mtunzi <a href="/SweetMaama/">Sweet Maama</a> 
Mtayarishaji @ChrispinML 

ILIPOISHIA.....
Nyie mabinti wa mjini mnajidai mnajua kuchezea watoto wa watu kwa kuwaloga ili mmiliki mali zao.. Sasa kwa huyu Mgongo wa Dodoma naomba usahau hilo.. Mali ya
PAPI🍁 (@crspuppi) 's Twitter Profile Photo

ITAENDELEA...SEHEMU YA 09 KITANDA CHA MPANGAJI Mtayarishaji @ChrispinML ILIPOISHIA..... "" "" " Shkamoo mzee. Nipo nyumbani kwasasa ila nilikuwa nampango wa kurudi kijiweni kuokoteza tena mzee wangu... Saidi aliongea kwa upole huku anawaza kuna

ITAENDELEA...SEHEMU YA 09

KITANDA CHA MPANGAJI

Mtayarishaji @ChrispinML 

ILIPOISHIA.....
"" "" " Shkamoo mzee. Nipo nyumbani kwasasa ila nilikuwa nampango wa kurudi kijiweni kuokoteza tena mzee wangu... 
Saidi aliongea kwa upole huku anawaza kuna
PAPI🍁 (@crspuppi) 's Twitter Profile Photo

SEHEMU YA 15 KITANDA CHA MPANGAJI ILIPOISHIA..... "" "" Ngoja uumie kidogo Dalali sele.. Karib hom.. Aliongea Mwenyewe Nasra... Nasra alishika Sim yake na kumtumia Dalali Sele ujumbe... "" "" "" Njoo my lala huku basi... Saidi yupo kwa mganga anauguliwa.. Mimi naogopa kulala

SEHEMU YA 15 

KITANDA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
"" "" Ngoja uumie kidogo Dalali sele.. Karib hom..
Aliongea Mwenyewe Nasra...

Nasra alishika Sim yake na kumtumia Dalali Sele ujumbe...

"" "" "" Njoo my lala huku basi... Saidi yupo kwa mganga anauguliwa.. Mimi naogopa kulala
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Familia nisaidieni kupata Rt niweze kumzawadia mpenzi wangu Tillah kwenye shughuli zake za uandishi wa habari aweze kupata Video za Quality. TECNO Tanzania #CAMON20ikoplenty

John kalage πŸ‡ΉπŸ‡Ώ (@kalage_jr) 's Twitter Profile Photo

Jaman mimi sina simu kabisaaa. Naombeni Retweet 1500 nipate Camon 20 .. Naombeni Retweet angalau #CAMON20ikoplenty kutoka TECNO Tanzania isinipite .. Oneni picha za simu yangu ..πŸ€’

Jaman mimi sina simu kabisaaa. Naombeni Retweet 1500 nipate Camon 20 ..

Naombeni Retweet angalau #CAMON20ikoplenty kutoka <a href="/TecnomobileTZ/">TECNO Tanzania</a> isinipite .. 

Oneni picha za simu yangu ..πŸ€’
Namdi Azikiwe.πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡°πŸ‡ͺ (@namdiazikiwe) 's Twitter Profile Photo

KABLA HUJAFA HUJAUMBIKA...!! Huyu Kijana ni Mkazi wa DUMILA 😭😭 Amepata changamoto katika utafutaji alikuwa ni dereva bodaboda tarehe '14/10/23 ilikuwa majira ya usiku alipata abilia akamwambia ampeleke sehemu walipofika katikati ya safari alimsimamisha wakati wamesimama

KABLA HUJAFA HUJAUMBIKA...!!

Huyu Kijana ni  Mkazi wa DUMILA  😭😭

Amepata changamoto katika utafutaji alikuwa ni dereva bodaboda tarehe '14/10/23 ilikuwa majira ya usiku alipata abilia akamwambia ampeleke sehemu walipofika katikati ya safari alimsimamisha wakati wamesimama
Family Nurse 🌝 (@litelight9) 's Twitter Profile Photo

Idris Habari Idris. Mimi ni mfanya biashara Mdogo wa usafi wa majumbani, maofisini,maofisini, -nyumba iliyomalizika kujengwa, inayotarajiwa kuhamia na usafi wa nguo, Kwa Sasa nimefikia hatua ya kununua baadhi ya vifaa. Lakini baadhi bado. Pesa yako itaniongezea mtaji niongeze vifaa.

<a href="/IdrisSultan/">Idris</a> Habari Idris. Mimi ni mfanya biashara Mdogo wa usafi  wa majumbani, maofisini,maofisini,
-nyumba iliyomalizika kujengwa, inayotarajiwa kuhamia na usafi wa nguo, Kwa Sasa nimefikia hatua ya kununua baadhi ya vifaa. Lakini baadhi bado. Pesa yako itaniongezea mtaji niongeze vifaa.
Dr Gudume The PDF Guy (@kamnyeso) 's Twitter Profile Photo

Idris Idris utajiri nilio nao ni ubunifu tu kaka. Nanunua viazi,namenya na kukata mwenyewe napaki kwenye vifungashio na kuuza. Ndoto ni kukuza hii brand kwa kuwa na vitendea kazi. Nipo Machava,Kigamboni mkabala na geti la jeshi,nakaribisha sapoti kwa hali na mali.

<a href="/IdrisSultan/">Idris</a> <a href="/IdrisSultan/">Idris</a> utajiri nilio nao ni ubunifu tu kaka. Nanunua viazi,namenya na kukata mwenyewe napaki kwenye vifungashio na kuuza. Ndoto ni kukuza hii brand kwa kuwa na vitendea kazi. Nipo Machava,Kigamboni mkabala na geti la jeshi,nakaribisha sapoti kwa hali na mali.
lucki (@lxckiszn) 's Twitter Profile Photo

3 DAYS LATER THEY REPLIED!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭❀️😭❀️❀️😭❀️❀️❀️😭❀️ TWITTER PLEASE DO YOUR THING!πŸ’•

3 DAYS LATER THEY REPLIED!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭❀️😭❀️❀️😭❀️❀️❀️😭❀️

TWITTER PLEASE DO YOUR THING!πŸ’•
Anna Tibaijuka (@annatibaijuka) 's Twitter Profile Photo

POLENI WAHANGA WA GHOROFA lililoanguka ila Ujenzi wa maorofa Kariakoo. NI JANGA KAMA LA JANGWANI. Kwa sheria za mipango miji ilitakiwa viwanja 4 vya high density viunganishwe mbele na nyuma kipatikane kiwanja kimoja kikubwa cha kujenga orofa imara yenye basement kubwa kupaki

UDSM ICON (@udsm_icon) 's Twitter Profile Photo

SURVIVAL MOVIES ZA KUANGALIA HII WEEKEND Kwa wale tunapenda aina hii ya movie basi hii list itunze kabisa na zote zipo kule TG. THREAD

SURVIVAL MOVIES ZA KUANGALIA HII WEEKEND 

Kwa wale tunapenda aina hii ya movie basi hii list itunze kabisa na zote zipo kule TG.

THREAD
P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Darasa la maokoto online part 2 linaanza February 01. Nafasi: 100 Muda: Usiku Mahali: WhatsApp group Malipo: TSh 0.00 Jifunze kuingiza $1 ya Kwanza Leo online BURE VIGEZO; Like, Repost kisha comment neno MAOKOTO. Nafasi ni chache Sana,

Darasa la maokoto online part 2 linaanza February 01.

Nafasi: 100
Muda: Usiku 
Mahali: WhatsApp group 
Malipo: TSh 0.00

Jifunze kuingiza $1 ya Kwanza Leo online BURE

VIGEZO; Like, Repost kisha comment neno MAOKOTO.

Nafasi ni chache Sana,