tegemeo luka (@elimumorogoro) 's Twitter Profile
tegemeo luka

@elimumorogoro

Charming

ID: 1496559493748076553

calendar_today23-02-2022 18:56:47

115 Tweet

45 Followers

879 Following

Bulugu Nhandi (@bulugunhandi3) 's Twitter Profile Photo

Maria Sarungi Tsehai Shangazi Maisha yanaenda Kasi sana,Jamaa kipindi kile wakiwa na Deo Sanga alisema atake asitake lazima tumuongezee Muda,Leo hii Maisha yamebadilika,ukikataa kuongoza utaongozwa!

Msafiri Egno Haule (@haule_msafiri) 's Twitter Profile Photo

@DrOnesmoMushi1 Wizara ya Elimu Tanzania Richard Mabala Kitila Mkumbo (PhD) Binafsi kama ningepata kisemeo, ningeshauri NECTA ivunjwe, haina mantiki katika Tz ya kileo. Division 1.7 ya Mtu wa Fedha Boys tunawezaje kuilinganisha kithamani na Div 3 yetu siye wa Daraja Mbili Sc ambao kila kitu tulikuwa tunajitafutia?