Joachimu Edes (@edes_joachimu) 's Twitter Profile
Joachimu Edes

@edes_joachimu

Tanzania young entrepreneur.

ID: 1583933859934216192

calendar_today22-10-2022 21:31:28

16 Tweet

32 TakipΓ§i

236 Takip Edilen

C L E M E N T 🦁🏷️ (@venant_clement) 's Twitter Profile Photo

Taarifa kwa Umma: RIPOTI YA UTENDAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO KWA ROBO YA KWANZA YA MWAKA WA FEDHA 2022/23. Imetolewa na Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Jabiri Bakari, Tarehe 25 Oktoba, 2022.

Taarifa kwa Umma: RIPOTI YA UTENDAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO KWA ROBO YA KWANZA YA MWAKA WA FEDHA 2022/23.

Imetolewa na Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Jabiri Bakari, Tarehe 25 Oktoba, 2022.
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Japo Simba Queens Tanzania hamkufanikiwa kuingia fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika kwa wanawake, nawapongeza na nawashukuru kwa kuandika historia baada ya kushika nafasi ya nne katika michuano hii. Naamini mtajipanga vizuri zaidi katika michuano ijayo. Kila la kheri.

Japo <a href="/simbaqueensctz/">Simba Queens Tanzania</a> hamkufanikiwa kuingia fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika kwa wanawake, nawapongeza na nawashukuru kwa kuandika historia baada ya kushika nafasi ya nne katika michuano hii. Naamini mtajipanga vizuri zaidi katika michuano ijayo. Kila la kheri.
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Barua ya kujiuzulu ya Mzee Mwinyi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani kufuatia vitendo vya Jeshi la Polisi huko Mwanza na Shinyanga inapaswa kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya TAIFA, kuandikwa kwa herufi kubwa zinazosomeka kirahisi na kuninginingizwa kwenye kila Kituo cha Polisi hapa

Barua ya kujiuzulu ya Mzee Mwinyi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani kufuatia vitendo vya Jeshi la Polisi huko Mwanza na Shinyanga inapaswa kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya TAIFA, kuandikwa kwa herufi kubwa zinazosomeka kirahisi na kuninginingizwa kwenye kila Kituo cha Polisi hapa
University of Dar es Salaam (@udsmofficial) 's Twitter Profile Photo

Apply for a transformative short training on π„ππ‡π€ππ‚πˆππ† π„π“π‡πˆπ‚π’ 𝐀𝐍𝐃 ππ„π‡π€π•πˆπŽπ”π‘π’ 𝐈𝐍 π–πŽπ‘πŠππ‹π€π‚π„π’. Let's cultivate a culture of integrity together! #ethicalworkplace #udsmalumni #udsm

Apply for a  transformative short training on π„ππ‡π€ππ‚πˆππ† π„π“π‡πˆπ‚π’ 𝐀𝐍𝐃  ππ„π‡π€π•πˆπŽπ”π‘π’ 𝐈𝐍 π–πŽπ‘πŠππ‹π€π‚π„π’. Let's cultivate a  culture of integrity together! 

#ethicalworkplace 
#udsmalumni 
#udsm
Joachimu Edes (@edes_joachimu) 's Twitter Profile Photo

Soka la Tanzania linakua kwa kasi sana ila kuna umuhimu mkubwa sana kama tukienda vijijini na maeneo yote ya nchi tukaskauti vipaji vinavyofia kule tukavilea katika mazingira mazuri ya kisoka ,tukachukua baadhi tukaapeleka academy za nje miaka 10 Tz will be fire

Soka la Tanzania linakua kwa kasi sana ila kuna umuhimu mkubwa sana kama tukienda vijijini na maeneo yote ya nchi tukaskauti vipaji vinavyofia kule  tukavilea katika mazingira mazuri ya kisoka ,tukachukua baadhi tukaapeleka academy za nje miaka 10 Tz will be fire
Joachimu Edes (@edes_joachimu) 's Twitter Profile Photo

Mafanikio binafsi yanahitaji bidii,juhudi maarifa na Nidhamu na Kama utakosa hayo Mambo matatu Basi Ni rahisi kupoteza mwelekeo hata Kama unazungukwa na watu wa maana.

Mafanikio binafsi yanahitaji bidii,juhudi maarifa na Nidhamu na  Kama utakosa hayo Mambo matatu Basi Ni rahisi kupoteza mwelekeo hata Kama unazungukwa na watu wa maana.
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 29 Mei, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 29 Mei, 2024.