Daniel Marco
@dmarco57088
ID: 1670084162303193090
17-06-2023 15:01:42
28 Tweet
15 Followers
316 Following
"Changamoto zinatatuliwa kwa maarifa na ujuzi sio cheti" Mh: Patrobas Katambi... Tanzania Youth Forum, 2023-Dodoma Tanzania Youth Forum
"Kuna haja kubwa kuhakikisha tunakuwa na baraza la vijana, hii itasaidia kuwepo na sera ambazo zitatungiwa sheria za kuwasaidia vijana kwa maendeleo ya vijana". Emmanuel Bwire Tanzania Youth Forum
"Mtazamo wa jamii unathamini zaidi mtu alieajiriwa, kuna haja ya kubadili mtazamo" Mr. John Ulanga Tanzania Youth Forum #TYF2023 Dodoma
Bado tunaendelea kupata madini adimu, Kongamano la vijana 2023 Day two at Jakaya Kikwete Convetion Center Tanzania Youth Forum #TYF
Hey youths wake up for your development in social,economic, leadership and technology. Here at Tanzania Youth Forum Tanzania Youth Forum
Usimamizi wa masuala ya vijana bado ni changamoto kutoka na mifumo iliyopo, Ni muhimu wadau tushirikiane kutengeneza mifumo mizuri kwa ajili ya Maendeleo ya #Vijana Tanzania Youth Forum Pact Tanzania T-MARC Tanzania Freedom House UNATanzania #TYF2023
Tunahitaji kuwepo na uratibu bora kwenye utekelezaji na uratibu wa sera zinazohusu vijana kwenye sekta binafsi, japo tunahitaji sera inayowagusa vijana moja kwa moja.. Tanzania Youth Forum Pact Tanzania #TYFDodoma2023
"Vijana tunatakiwa tutengeneze mazingira ya kuaminika katika jamii ili tuweze Kutumia fursa zilizopo #TYF2023 Tanzania Youth Forum Pact Tanzania
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya afya ya kijana na maendeleo yake, Afya ikiharibika inaweza kuchangia kijana akashindwa kutumia fursa zilizopo #Elimu ya Afya kwa kijana inatapaswa itolewe vya kutosha ili kutimiza malengo. Tanzania Youth Forum Pact Tanzania Salama Foundation #TYF2023
Youth participation in inclusive social Development "Ni muhimu kuwepo na miundombinu bora kwa ajili ya kuwasaidia vijana kupata huduma za kiafya kama vile kuwepo kwa chumna maalumu kwa ajili ya huduma kwa vijana' Tanzania Youth Forum Pact Tanzania Salama Foundation #TYF2023
"Asilimia kubwa ya vijana wanapata matatizo ya afya ya akili kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya, kama vichochezi n.k, Vijana tunapaswa kujitafakari" Tanzania Youth Forum Pact Tanzania Salama Foundation USAIDTanzania #TYF
Vjana wengi wanajiingiza katika mahusiano kabla ya wakat, hii ni kutokana na kupevuka mapema kw watoto kabla ya kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi,hii inasababisha kutofikia malengo yao.Elimu ya uzazi ni muhimu kwa vijana ili wafikie malengo. Tanzania Youth Forum Pact Tanzania
Tusidharau vitu vidogo maana ndio chanzo cha vikubwa, Vijana wasomi muwe chachu ya mabadiliko''. We are here at Dodoma TYF2023 Tanzania Youth Forum Pact Tanzania USAIDTanzania Salama Foundation EastAfricaTV #TYFDODOMA2023 #Kongamanolavijana2023
We had a good time withTanzania Youth Forum from 3rd to 4th, August 2023. Now is our time for us as youths to do our part also for the government to create conducive environment for us..Thanks a lot #TanzaniaYouthForum2023 #TYFDODOMA2023 @youthforum_Tz Pact Tanzania USAIDTanzania