Yohana Kaunya (@yohanakaunya) 's Twitter Profile
Yohana Kaunya

@yohanakaunya

KAIMU KATIBU MKUU BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) TAIFA

NAIBU KATIBU MKUU BAVICHA TAIFA 2019/2024

DIWANI NILIEPORWA UDIWANI 2020 KATA YA BUNDA STOO

ID: 731008398645428224

calendar_today13-05-2016 06:29:18

4,4K Tweet

14,14K Followers

1,1K Following

Yohana Kaunya (@yohanakaunya) 's Twitter Profile Photo

Asubuhi ya leo tarehe 30 Mei 2025 Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. John Heche pamoja na ujumbe wake wakiwa Moshi kuendelea na Operesheni #NoReformsNoElection wamepata wasaa wa kutembelea kaburi la mwasisi wa Chama Marehemu Philemon Ndesamburo, na kuweka mashada ya maua.

Asubuhi ya leo tarehe 30 Mei 2025 Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> pamoja na ujumbe wake wakiwa Moshi kuendelea na Operesheni #NoReformsNoElection wamepata wasaa wa kutembelea kaburi la mwasisi wa Chama Marehemu Philemon Ndesamburo, na kuweka mashada ya maua.