
Mtanganyika📌
@simongeraldh
The making scheme
ID: 1638311419757076486
21-03-2023 22:48:09
351 Tweet
133 Followers
1,1K Following






Follow 👉🏽👉🏽Rugemeleza Nshala 👈🏽👈🏽 Wapumbavu machawa eti walitaka kuanzisha kampeni watu wamtenge Senior Counsel Nshala 🙄 Sasa tunashukuru bango tumerekebisha inatusaidia 😁 - FOLLOW KWA WINGI Rugemeleza Nshala 🔥 Naona wakili msomi kawapiga wanatoa milio tu 🤣 #TutaelewanaTu







Kwa vyovyote vile, kesi ya UHAINI inayomkabili Tundu Antiphas Lissu itaisha. Iwe kwa kuhukumiwa kunyongwa au kutokukutwa na hatia kwa sababu ya pressure ya nje..itaisha. Hizi Sheria walizotunga kuficha mashahidi zitabaki. Kwa hila, watanyongwa watoto wetu, wajomba zetu, dada na kaka


