shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile
shneida_infos

@shneida_infos

Broadcast Journalist | Producer @shneida_infos on Instagram.

ID: 1153222463716777985

calendar_today22-07-2019 08:37:15

1,1K Tweet

291 Followers

143 Following

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Msanii #SteveNyerere akiongelea sakata la #Niffer kumjibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kutoa agizo la kutafutwa na ajisalimishe jeshi la Polisi. Video nzima ipo Youtube Ya #EastAfricaTV na EastAfricaRadio kusikia mengine aliyoyasema Steve Nyerere.

EastAfricaRadio (@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

#BURUDANI Leo ni Birthday ya Superstar wa Muziki ndani na nje ya Africa Davido OBO ambaye anatamiza miaka 32. Unaambiwa #Davido alikuwa hajui kama kwao ni Matajiri @shneida_infos na @conniebeily wanakusanua zaidi kuhusiana na hilo. #TheCruise #Trending #Davido #AfroBeats

EastAfricaRadio (@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

#BURUDANI DAVIDO ni mtu bora kuwahi kutokea kwenye maisha yangu - Anasema Daynanyange katika siku ya Birthday ya staa wa muziki Davido #TheCruise #Trending #Davido #AfroBeats #Nigeria #OBO @shneida_infos MEDUSA

EastAfricaRadio (@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

#BURUDANI Washkaji zako wa #TheCruise Black Medusa @conniebeily na @shneida_infos wamempa maua yake OBO Davido kwa mchango wake kwa wasanii wa Tanzania. #TheCruise #Trending #DiamondPlatnumz #Davido #AfroBeats #Nigeria #OBO

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#TBT Hii ni picha mwezi Oktoba mwaka 2006 ya #JayZ na #Beyonce wakiwa Mwananyamala, Dar es Salaam Tanzania kwa mara ya kwanza. Ujio huo wa #JayZ ulikuwa kufanya show Tanzania na kujaribu mfumo mpya wa bomba la maji safi ‘Water for Life’ katika ziara ya UN. Unaambiwa matukio

#TBT Hii ni picha mwezi Oktoba mwaka 2006 ya #JayZ na #Beyonce wakiwa Mwananyamala, Dar es Salaam Tanzania kwa mara ya kwanza.

Ujio huo wa #JayZ ulikuwa kufanya show Tanzania na kujaribu mfumo mpya wa bomba la maji safi ‘Water for Life’ katika ziara ya UN.

Unaambiwa matukio
EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

✍️shneida_infos Zile Verse za Joh Makini kwenye Kilimanjaro, Stimu zimelipiwa,Manuva,Karibu shows za Joh,Bye Bye, Higher na I see me zilikuwa mbele ya muda sana yaani levels. Kuna Ujumbe wa ku-entertain sana, flows kali, uandishi umenyooka,swaggz halafu anajigamba flani hivi

✍️<a href="/Shneida_Infos/">shneida_infos</a> Zile Verse za Joh Makini kwenye Kilimanjaro, Stimu zimelipiwa,Manuva,Karibu shows za Joh,Bye Bye, Higher na I see me zilikuwa mbele ya muda sana yaani levels.

Kuna Ujumbe wa ku-entertain sana, flows kali, uandishi umenyooka,swaggz halafu anajigamba flani hivi
Nigga hood the Mc✊🏿👮🏿‍♂️ (@lucasodero8) 's Twitter Profile Photo

#HipHopfamily PlataOPlomo25 ishu siyo lugha na international ata Africa ni international inategemea wewe unayeuliza uko international ya nchigani. Swali kuhusu kwenda international kajibu kizalendo ✊🏿👮🏿‍♂️

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Rapa #LilWayne aliweza kurekodi nyimbo 53 kwa usiku mmoja! Unju PlataOPlomo25 ana nyimbo zaidi ya 1000 mpaka sasa ,anasema Lil Wayne ametudanganya hakuna msanii anayeweza kurekodi nyimbo zote hizo kwa usiku mmoja. Upo na Lil Wayne au Nikki Mbishi katika hili? #Trending

shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile Photo

Waandishi tumechukuliwa poa sana kwa Mkapa jana, kila kiongozi anayetoka hataki kuongea kama vile hawajuzungumza chochote kule ndani. Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo, Naibu wake na Katibu wamegoma kuongea, M/Kiti CEO Bodi ya ligi na rais wa TFF nao wamegoma🤐

shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile Photo

Sio kwa ubaya, hii ni List ya wasanii ambao nimewasikia hawana vipaji. Matonya -AbduKiba -Baba Levo -Shilole-Chege -Dudu Baya -Queen Darlin -PNC -Abby Skillz -PNC -Sajna Iveta -Pasha. Wametumia ubunifu, juhudi zao kimuziki kupata hits song,kuandika na kwenda na wakati.

shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile Photo

Kutokana na wasanii wengi kushuka viwango hivi sasa, hii ni List ya wasanii wangu ambao bado wanahitajika na mashabiki👇 Mwana FA -TID-ChidiBenz-Q Chief-RayC-Rich Mavoko-Belle 9-Young Killer Wanasikilizika,Uwasilishaji wao mzuri,uandishi,melody na style. Ongezea na wengine

shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile Photo

Nimepenyezewa taarifa hapa huenda Mbosso, Chino Kidd na Ibraah watakuwa kwenye lebo 1 siku zijazo. Boss mmoja kutoka mkoani amemwaga nyingi sana pesa kuwapata. Tujiandae kuwa kwenye ushindani wa lebo nyingine yenye wasanii hao.

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Mdau wa mambao ya burudani na mtangazaji @shneida_infos amepost katika ukurasa wake wa X akidai kuwa wasanii IBRAAH mbossokhan na @chino_kidd7 kuwa katika label moja ambayo inatajwa kuwa ya tajiri mmoja kutoka huko mkoani. Ikitokea wasanii hawa ikawa kweli wapo chini ya lebo

Mdau wa mambao ya burudani na mtangazaji @shneida_infos amepost katika ukurasa wake wa X akidai kuwa wasanii <a href="/ibraah_tz/">IBRAAH</a> <a href="/mbosso_/">mbossokhan</a> na @chino_kidd7 kuwa katika label moja ambayo inatajwa kuwa ya tajiri mmoja kutoka huko mkoani.

Ikitokea wasanii hawa ikawa kweli wapo chini ya lebo
shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile Photo

Top 10 ya Nyimbo za mapenzi bora ambazo nimewahi kuzisikia Bongo -Run Dunia -Kamwambie -Utu -Mashalaah Chidi Benz na Mzee Yussuph -Roho Fid Q - Mwana FA Kiboko yangu - Joh Makini Chochote Popote -Latifah Mb Dogg -Ibraah Nitachelewa -Christian Bella yako wapi mapenzi

shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile Photo

Kwahiyo Big Diamond Platnumz kaamua kuoa ndoa ya Mkeka😀halafu kimyakimya kama Jay Mo na Ngwea! Anazidi kutu-inspire nisikie mtu ananidai michango ya harusi au mtoto wa Mama Mkwe huko anataka harusi kama ya Jux na P🙌🏻

shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile Photo

Alichokiimba Mbosso kwenye “Pawa” unaweza kusema ww hujui mapenzi au walio single wapo kama yatima au hakuna kitu kizuri kama mapenzi ila ingia sasa uone mazingaombwe 😂wiki tu yanakushinda

shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile Photo

Hivi ni kweli ndoa ya Jux na mkewe Priscy imekuwa kubwa kuliko career yake yote ya muziki? Basi kama ndio hivyo hata Nigeria atakuwa anafahamika zaidi kwa tukio la harusi kubwa na kifahari sio kama msanii na muziki wake…

shneida_infos (@shneida_infos) 's Twitter Profile Photo

Wanawake miyayusho sana kwenye mahusiano, anaweza kukutumia msg anakwambia “Nakupenda” usiporeply anamind anakwambia mbona humjibu Sasa najiuliza Nakupenda ni swali mpaka ujibu au ni nini?