Fred Ruhomvya (@ruhomvya) 's Twitter Profile
Fred Ruhomvya

@ruhomvya

stress is un avoidable till u kiss the soil

ID: 1253670631222046722

calendar_today24-04-2020 13:03:12

381 Tweet

603 Followers

1,1K Following

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Tukifanya mzaha huyu Ndugu yetu tutampoteza. Kelele zinapaswa kuwa kubwa sana ktk kila kona ya Nchi. Naambiwa amechukuliwa na KIKOSI MAALUMU.

Tukifanya mzaha huyu Ndugu yetu tutampoteza. Kelele zinapaswa kuwa kubwa sana ktk kila kona ya Nchi. Naambiwa amechukuliwa na KIKOSI MAALUMU.
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Baada ya kupost habari ya kuvamiwa kwa JAPHET MATARRA na watu wasiojulikana ndugu yetu John Nguti Chadema alikimbia Muhimbili kuenda kumuona. Wamejitahidi kwenye kumsaidia kupata huduma za kwanza. Na kuna baadhi ya bills wamelipia kama inavyoonekana Risiti hapo chini. Taarifa

Baada ya kupost habari ya kuvamiwa kwa <a href="/Eng_Matarra/">JAPHET MATARRA</a>  na watu wasiojulikana ndugu yetu <a href="/JohnNgutiCDM/">John Nguti Chadema</a>  alikimbia Muhimbili kuenda kumuona.

Wamejitahidi kwenye kumsaidia kupata huduma za kwanza. Na kuna baadhi ya bills wamelipia kama inavyoonekana Risiti hapo chini.

Taarifa
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA KWA UMMA Kuhusu kutoweka Francis Luumi ambae ni Mwenyekiti wa Bazecha Jimbo la Babati Vijijini na aliyekuwa Diwani wa kata ya Endakiso, Babati Vijijini. Tarehe 16/07/2025 baada ya kesi ya Mhe. Lissu kuhairishwa aliaga watu aliokuwa nao Mahakamani kwamba anaelekea

TAARIFA KWA UMMA

Kuhusu kutoweka Francis Luumi ambae ni Mwenyekiti wa Bazecha Jimbo la Babati Vijijini na aliyekuwa Diwani wa kata ya Endakiso, Babati Vijijini.

Tarehe 16/07/2025 baada ya kesi ya Mhe. Lissu kuhairishwa aliaga watu aliokuwa nao Mahakamani kwamba anaelekea
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Kwa wale ambao hawajasaini petition ya #NoReformsNoElection tumeiweka online kila mtu anaweza kusaini. Tutafanya majumuisho waliosaini manual na online na kutoa matoke na pia kuchukua hatua zaidi.

SATIVA TIPS (@sativatips17) 's Twitter Profile Photo

Sauti bado hazitoshi wananagu. Nikama tunachukulia POA. Kiduku alikuwa mtu wa Space sana hata space ya kumpigia kelele kiduku mpaka sasa sijaona mnamaana gani? Tuongeze Nguvu wazee & Tusichukulie poa kabisa. REPOST 500 #FreeKiduku KIDUKU

Sauti bado hazitoshi wananagu. 

Nikama tunachukulia POA. 

Kiduku alikuwa mtu wa Space sana hata space ya kumpigia kelele kiduku mpaka sasa sijaona mnamaana gani?

Tuongeze Nguvu wazee &amp; Tusichukulie poa kabisa.

REPOST 500 

#FreeKiduku <a href="/TanzaniaOneJezi/">KIDUKU</a>
SATIVA TIPS (@sativatips17) 's Twitter Profile Photo

🚨 Please help! Tag Elon Musk Support to reinstate @sativa255 (143K followers). He is a human rights defender & victim of political persecution. Silencing him = silencing truth. #UnsuspendSativa255 #FreedomOfSpeech

🚨 Please help!
Tag <a href="/elonmusk/">Elon Musk</a> <a href="/Support/">Support</a> to reinstate @sativa255 (143K followers). He is a human rights defender &amp; victim of political persecution. Silencing him = silencing truth.
#UnsuspendSativa255 #FreedomOfSpeech
MIRIAM💜 (@miriammkanaka) 's Twitter Profile Photo

Hey Elon Musk Support please reinstate human rights defender @sativa255’s account. Sativa is a victim of political persecution. Silencing him is tantamount to silencing truth. #UnsuspendSativa255 #FreedomOfSpeech

Hey <a href="/elonmusk/">Elon Musk</a> <a href="/Support/">Support</a> please reinstate human rights defender @sativa255’s account. Sativa is a victim of political persecution. Silencing him is tantamount to silencing truth.
#UnsuspendSativa255 #FreedomOfSpeech
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Wakati tunaendelea na mijadala mingine ndugu yetu Kiduku na Frida Mikoroti tangu Ijumaa wanaendelea kushikiliwa kituo cha Polisi Central Dar ambako walienda kureport baada ya kupata dhamana lakin walipofika tu Mafwele aliagiza warudishwe lock up. Jana Familia zao zimeshinda

Wakati tunaendelea na mijadala mingine ndugu yetu Kiduku na Frida Mikoroti tangu Ijumaa wanaendelea kushikiliwa kituo cha Polisi Central Dar ambako walienda kureport baada ya kupata dhamana lakin walipofika tu Mafwele aliagiza warudishwe lock up.

Jana Familia zao zimeshinda
SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Cancel FAKE leaders Cancel FAKE artists Cancel FAKE musicians Cancel FAKE celebrities Cancel FAKE influencers Cancel FAKE religious leaders Cancel FAKE entrepreneurs Cancel FAKE journalists Cancel FAKE media Cancel FAKE anything Msiwape engagement yoyote, msinunue bidhaa zao

Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

Tunaomba mpost ajulikane ameuwa ndugu zetu sana kwenye maandano Dodoma ni askari kanzu, Anaitwa EPIFANI SHIJA, yeye ndio aliyekuwa anaongoza askari kupiga ndugu zetu risasi hapa Dodoma.

Tunaomba mpost ajulikane ameuwa ndugu zetu sana kwenye maandano Dodoma ni askari kanzu,
Anaitwa EPIFANI SHIJA, yeye ndio aliyekuwa anaongoza askari kupiga ndugu zetu risasi hapa Dodoma.
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya MARIDHIANO ya kweli… Yanaanza kwa Kuvunja Bunge lote… Kura zirudiwe… Vyama vyote virudi kwenye Uchaguzi…wachaguliwe na Wananchi kwa Haki… Hatuwezi tukawa na maridhiano ya kweli ilhali wawakilishi wetu Bungeni HAWAJACHAGULIWA NA WANANCHI! Wanamuwakilisha