Exuperius Mutabuzi (@mexuperius) 's Twitter Profile
Exuperius Mutabuzi

@mexuperius

CPA(T) | Managing Partner & Co-founder @Hundredfold @smartvicoba

ID: 2478973830

linkhttp://www.hundredfold.co.tz calendar_today05-05-2014 23:49:58

480 Tweet

68 Followers

351 Following

Edgar Mwampinge (@mwampinge) 's Twitter Profile Photo

In Tanzania it pays more to be a startup enabler (owning a hub,run programs &Accelerator) than being actual startup founder. Everyone including NGOs want to run a hub. Throw in some words like Youth, women, social enterpreneurship, get $300k then throw $5k to 10 founders, repeat.

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

‘’Wakati wa awamu ya kwanza biashara ilifanyika kwa ushirika na manufaa yalikua kwa watu wote na sekta binafsi ilikuwepo ila katika huduma ambazo serikali haikuweza kuzitoa kama hospitali na shule’’ - Mchumi Exuperius Mutabuzi #Mjadala

‘’Wakati wa awamu ya kwanza biashara ilifanyika kwa ushirika na manufaa yalikua kwa watu wote na sekta binafsi ilikuwepo ila katika huduma ambazo serikali haikuweza kuzitoa kama hospitali na shule’’ - Mchumi <a href="/mexuperius/">Exuperius Mutabuzi</a> 

#Mjadala
Exuperius Mutabuzi (@mexuperius) 's Twitter Profile Photo

What makes us human is not our ability to think. It is our ability to love one another. @ Dar es Salaam, Tanzania instagram.com/p/CZrF5PiNMZ4/…

Sheria Kiganjani (@sheriakiganjani) 's Twitter Profile Photo

Timu yetu ikiwapa hamasa ya masomo na kuongelea fursa za maisha na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mabwe Tumaini. #sheriakiganjani #legaltech #justlers #fahamusheria #sikuyawanawake #breakingbias #tuvunjeupendeleo

Timu yetu ikiwapa hamasa ya masomo na kuongelea fursa za maisha na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mabwe Tumaini. #sheriakiganjani #legaltech #justlers #fahamusheria #sikuyawanawake #breakingbias #tuvunjeupendeleo
The ChandO (@sadicktusia) 's Twitter Profile Photo

Uzi : SIRI KUMI NA MOJA( 11 ) ZA MAISHA USIZOZIJUA 🙄🇹🇿 1. SIRI YA KWANZA Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, Iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza Chakula Cha kula maana "kikulacho kinguoni kwako!", Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake!....👇

Uzi : SIRI KUMI NA MOJA( 11 ) ZA MAISHA USIZOZIJUA 🙄🇹🇿

1. SIRI YA KWANZA

Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, Iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza Chakula Cha kula maana "kikulacho kinguoni kwako!",  Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake!....👇
Exuperius Mutabuzi (@mexuperius) 's Twitter Profile Photo

Hii issue ya maji naona wahusika wameikalia kimya kabisa ila inatuumiza sana aisee. Maji yamekatika huku Mbezi beach zaidi ya wiki sasa bila taarifa yoyote. Sipatii picha sehemu nyingine zenye uhaba wa maji siku zote hali ikoje kwa sasa. DAWASA tunaomba majibu ya kueleweka.