Mashauri Thadeo (@mashaurit) 's Twitter Profile
Mashauri Thadeo

@mashaurit

ID: 2985481612

calendar_today19-01-2015 09:29:44

144 Tweet

63 Followers

154 Following

Emmanuel Nchimbi (@nchimbie) 's Twitter Profile Photo

Kama kiongozi ni shurti uwe mkweli katika kusema na kutenda, sio unasema hili ukiwa mbele ya wananchi na kutenda tofauti ukiwa sirini.

Hancy Machemba (@hancymachemba) 's Twitter Profile Photo

Nimeamka na akili za usiku na kuwaza.vp Kwa mfano Mzee Wa vijisent (CHENGE) naye akitangaza nia wangapi tutampa kura na kumpigia kampeni

Hancy Machemba (@hancymachemba) 's Twitter Profile Photo

TRA ni mmoja wa Watu wanaokwamisha ukusanyaji Wa kodi.Magumu mengi tunapitia mpaka tunakata tamaa bhana na machine zenu EFD.boresha Sana tu

Nikkwapili (@nikkwapili) 's Twitter Profile Photo

Mwaka wa 5 wa bunge..sasa tupime gharama za uendeshaji zilizo tumika tulinganishe na mabadiliko ya maisha ya mtanzania yaliyotokana na bunge

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Ukipenda cheo utakuwa na wivu wenye vyeo vikubwa zaidi, utakuwa na uhasama na mliolingana cheo na utawadharau wasio na cheo #ChangeTanzania

Hancy Machemba (@hancymachemba) 's Twitter Profile Photo

Amini nawaambia hakuna mabadiriko yatakayoletwa na CCM wala kiongozi anayetoka ktk chama hicho. Ushahidi ni yale yaliyotokea bungeni juzi