Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile
Lumola Steven Kahumbi

@lumola_steven

ENG/PMP/CMA/SCS/MCS & PBI

🛠️ I'm an Engineer with a passion for project management and Data analysis. Holder of PMP, CMA, SCS MCS & Power BI certifications.

ID: 3184137070

calendar_today19-04-2015 18:28:38

9,9K Tweet

6,6K Followers

735 Following

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

IMA #1. Kuhusu siku ya mimi kutoa Press yangu jana ni matokeo ya kuiahirisha mara tatu jana ingekuwa ya nne awali ilikuwa niitoe Tar. 19 July nikaahirisha mpaka Tar. 21 July nikaahirisha tena Tar. 27 July. Ndio jana nikafanya. #2. Kuhusu muingiliano wa Press yangu na

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

IMAGINE MNAMCHUKIA MBOWE MPAKA MNATAKA KUHALALISHA KITABU HARAMU CHA DR. SLAA Upo LiJinga kweli yaani haya nikuulize unajua kuwa Dr. Slaa kwenye kitabu hicho hicho kamfananisha Mhe. Lissu na Shetani? Lissu ni sawa na Shetani? Na je unajua kuwa bado Dr. Slaa anauza hicho

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

Kila mwanadamu aliyekamilika yupo na a certain amount of madness. Haipendezi kuwa na busara wakati wote kuna muda wakija machizi unageuka unakuwa kama wao ili muende sawa na hapo ndio maisha yananoga. Waswahili mnasema Chizi akikunyang'anya Taulo usimkimbize mimi nakataa hiyo

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

Hawa watu wanaosomea mambo ya Community Health, Clinical Medicine na kozi zingine za afya. Wanapoitwa na Serikali baada ya kupata ajira ili kupangiwa Hospital za kwenda Serikali huwa inawaangalia wale wanao onekana machizi machizi ndio wanapangiwaga Mirembe kwa machizi wenzao.

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

NIPO TAYARI SASA NJOO UANZE WEWE KUTUKANA. Ila kabla hujaanza kutukana uje uniambie kwanza wewe ni Jinsia gani maana jina lako linanichanganya. Ili baadae nisije kuonekana nashambulia Jinsia flani. I'm ready 💪

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

HAPO BADO MBONA SIJAMTUKANA NATAKA KWANZA AJAE KWENYE LINE VIZURI. Kaka mimi naweza mijadala ya aina zote; #1. Mijadala ya kujenga #2. Mijadala ya hoja #3. mijadala ya matusi ambayo imegawika katika mafungu matatu; Matusi ya Utani, Matusi ya Kawaida na Matusi ya Laana. Huyu

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

Kaka Kwa suala la yule mzee kutukanwa sina namna naweza kufanya unafiki wa kukaa kimya. Nikiona yule mzee anatukanwa lazima nijitokeze hadharani kukataa. Msichokijua wengi hii ni project maalum ya kuhakikisha kwamba Mbowe haheshimiki tena katika Jamii. Historia yake yote kuna

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

HILO HANISIMBUI HATA KIDOGO USICHOKIJUA👇 Actually 90% ya comments ni za Anonymous ID za hapa ☓ na baadhi ya Account nawajua mpaka wanaozimiliki. Kuna watu nawafahamu wanamiliki mpaka Account 20 hapa ☓ Nenda YouTube kasome comments. Kama ulikuwa hujui ndio ujue kuna muda

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

KWENYE HILI HAPANA WE HAVE TO FAIR KWA VIONGOZI WAPYA. #1. Kuhusu Fedha za Tone Tone hilo sio jipya tangu enzi za Sabodo CHADEMA tumekuwa tukitegemea michango kuendesha Operation za Chama. Kwahiyo Fedha Tone Tone zimetumika vizuri na kila mtu kaona (Ukweli usemwe) #2. Kuhusu

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

NITAKUJIBU MASWALI YAKO YOTE MATATU. #1. Mbowe alikuwa ana wasaidizi wake binafsi. Said Issa hakuwa Msaidizi wake alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Zanzibar. Said Issa ni mtu mzima na anaweza kufanya chochote bila kutumwa na mtu yeyote. #2. Masuala ya M/kiti Lissu kuwa

Jenerali Ulimwengu (@raiyajenerali) 's Twitter Profile Photo

Nimemsikia Dk. Wilbrod Slaa akimwomboleza Dr. Hassy Kitine kama mzalendo wa kweli. Nimepata fursa kumwambia Slaa hiyo si kweli. Pamoja na kusikitika kwa kiumbe kufariki si haki kumvisha sifa si zake. Huyu alikuwa mwizI aliyeliibia Taifa mamilioni ya fedha kwa tamaa zake.

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

MBOWE AKEMEE NINI, KWANI LISSU KAKAMATWA NA MAPEPO? Acheni upuuzi nyie, kama M/kiti Lissu angekuwa kakamatwa na mapepo basi tungeyakemea wote sio Freeman Mbowe tu. M/kiti Lissu kakamatwa na maCCM na si mapepo. Kinachohitajika sio kukemea ni ku-take action ngumu mpaka maCCM

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

WEWE NI MTANZANIA KWELI? Wasandiki ndio kina nani? aujawai ndio nini? Sasa ikiwa hata kuandika tu hujui utaweza kweli kujenga hoja? Nenda kwanza kajifunze zile KKK (K3) Kusoma, Kuandika na Kuhesabu halafu urudi hapa. Ila nina mashaka wewe sio Mtanzania.

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

PETER BORA MIE DISH LIMEYUMBA WEWE DISH LIMEPASUKA KABISA. Narudia sentensi yako halafu na wewe ujisome "nimekuaja kukundua Dishi Linayumba" Nimekuaja ndio nini? Kukundua ndio nini? Kuanzia leo wewe ni PETER DISH KUPASUKA. #Waongo #Waoga #Wanafiki #Wafitinishi #ShenziKabisa

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

SIJAKUELEWA KAKA UNANITUKANA AU UNAMAANISHA NINI? Ukisema mimi ananiweka. Unamaanisha kama alivyowekwa mama yako ukazaliwa au una maana gani?