Kunta Kinte ♻️ (Markowitz) (@lumixha) 's Twitter Profile
Kunta Kinte ♻️ (Markowitz)

@lumixha

Finance and Accounting Literacy• Trust none & suspect each n' everything• @Simbasctanzania• @Lfc

ID: 1843237704

calendar_today09-09-2013 10:04:58

48,48K Tweet

4,4K Followers

1,1K Following

Malkia Nyuki 👑 (@nyuki_malkia) 's Twitter Profile Photo

Goodmorning! Watu wanapitia mengi sana kwenye maisha yao matatizo ya kifamilia, kiuchumi, afya ya akili, bado na wewe unaenda kuwaongezea fitina, dhuluma ,kucheza na hisia zao sio poa jiheshimu na heshimu hisia za watu 🙌

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Oyaaa , Machalii wangu wa Gen Z wangu nisikilize hapa vizuri 🗣️🔥 Wateja wakuu wa show za wasanii nchini ni nyie Gen Z. Sasa kama kuna wasanii wameamua kuwa chawa, hakuna haja ya kupiga kelele kuna njia moja tu, rahisi na ya AMANI , ⛔️ Usihudhurie show zao. ⛔️ Wa-unfollow kila

Miss Chelsea1221 (@misschelsea1221) 's Twitter Profile Photo

Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size S_______2XL 👉Bei 27,000/= Wa.me/+255717251747 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA

Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍

👉Size S_______2XL
👉Bei   27,000/=

Wa.me/+255717251747
Au 0714336827

👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
Malkia Nyuki 👑 (@nyuki_malkia) 's Twitter Profile Photo

Huko kwenu mliopanga wengi mnalipaje umeme jamani maana mwenye nyumba anataka kila mwezi tumpe 10k ya umeme na mimi sina hata pasi ya umeme 😢

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Nimekutana na Latifa na Clara, wakaniambia straight , “Bro G, huku hatudanganyiki tena kwa udini wala ukabila. Sisi ni watoto wa internet, tunajionea lifestyles za dunia live. Tunajua exactly tunachotaka. Tunaona life ya watoto wa vigogo. magari, schools na vibes zao. Na hizo

Nimekutana na Latifa na Clara, wakaniambia straight , “Bro G, huku hatudanganyiki tena kwa udini wala ukabila. Sisi ni watoto wa internet, tunajionea lifestyles za dunia live. Tunajua exactly tunachotaka. Tunaona life ya watoto wa vigogo. magari, schools na vibes zao. Na hizo
Malkia Nyuki 👑 (@nyuki_malkia) 's Twitter Profile Photo

Naomba retweet hapa wadau 🔥 Afterwork sio Afterwork bila Heineken Ijumaa hii tunatumia muda vizuri baada ya kukimbizanana mishe za town, tunakutana watu classic, huku tukijipongeza na Heineken baridi 🍻 🗒 Nov 28. 📍Tips Mikocheni, usikose. #AfterworkbyHeineken

BELINDA (@_belindapinda01) 's Twitter Profile Photo

Guyz guyz guyz guzy guyz guyz guyz guyz guyz guys Guyz guyz guyz guzy guyz guyz guyz guyz guyz guys guyz guyz guzy guyz guyz guyz guyz guyz guys Guyz guyz guyz guzy guyz guyz guyz guyz guyz guys Guyz guyz guyz guzy guyz guyz guyz guyz guyz guys Qummmake Guyz guyz 😂

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Mahusiano ya kazi ni kama mahusiano ya Mapenzi, yakikaribia kuisha Dalili utaziona tuu, usisubiri mpaka mvunjiane heshima, ondoka kwa Hiari.