
Heche Enock
@heche_m_enock
THE MORNING WILL COME...!
ID: 3326451675
15-06-2015 08:19:03
3,3K Tweet
3,3K Followers
255 Following








Tunapokea taarifa nyingi kuhusu usalama wa Mwenyekiti wetu. Tunazipokea kwa uzito unaotakiwa, Mwenyekiti Tundu Antiphas Lissu alikamatwa akiwa na afya yake njema. Lolote baya likimtokea kwenye mikono ya vyombo vya dola sisi chama hatutakubali. Dunia haitakubali. Rais Samia Suluhu


Nawakumbusha kuwa mgombea udiwani na kada mtiifu wa Sirari - Sinda Samsoni Mseti bado hajapatikana Chama Cha Mapinduzi si mlisema mtampata? Wananchi wa Sirari mmedanganywa tena na mjiandae kuendelea kutekwa maana ni kama kuna jini huko mla watu 😓 #enforceddissapearances #Tanzania








“Absence of Evidence is not an evidence of absence” by Tanzania Abroad TV , kilichomuua Jiwe kinawekwa hadharani ndani ya siku 10! Watu wamechoka sasa




