ILHAM π€
@claramogul
Young Africans SC ππ€π//#DarYoungAfricans // Ambassador @45minstore
ID:734024895428984832
21-05-2016 14:15:47
164,5K Tweets
150,8K Followers
4,7K Following
Binti Mpole leo anauliza, Hivi mara ya mwisho boyfriend wako kukununulia pedi ni lini?
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip
Serikali kupitia TBA imekamilisha
ujenzi wa jengo la huduma ya afya ya mama na mtoto kwenye
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa
Mwanza, Sekou Toure.
#MamaYukoKazini
Baada ya mihangaiko ya siku nzima kaa karibu na kingβamuzi chako cha DStv upate burudani utabasamu kidogo kupitia igizo la Kitimtim ifikapo saa 3:30 chaneli namba 160.
Kama bado hujalipia kifurushi bofya *150*53# kulipia sasa.
#MfalmeWaBoma
Usikose kuangalia tamthilia ya Jiya ambayo ina onyesha maisha na tamaduni za Masai na wahindi.
Muingiliano wa familia yenye fedha na masikini kwenye mapenzi jinsi inavyo leta shida.
#MfalmeWaBoma
Last week kulikuwa na mjadala wa mikopo chefuchefu jinsi inavyo haribu maisha ya watu wengi Leo ngoja niwape mawili matatu.
Kuna account ya wajasiriamali Mali wanawake inaitwa Malkia Account.
Utaifungua kwa 5,000.
Hakuna gharama za Kila mwezi
#SwahibaLanguLako
Anza wiki yako vizuri kwa kuchukua mkopo kutoka Soft Finance na ufanikishe mipango yako ya wiki nzima.
Ndani ya dakika 45 tu unapata mkopo wenye riba ndogo na masharti nafuu.
kwenye mafanikio hakuna kusitasita usisubiri, wacheki sasa #SoftFinance ukamilishe #MpangoPesa
Kama muuzaji anasitasita umuulizapo kuhusu hatimiliki ya kiwanja chako, shtuka, unaweza kuwa unauziwa mbuzi kwenye gunia.
Kwetu lapexproperties hatimiliki ya kiwanjo chako ni kipaumbele chetu.
Nunua kiwanja chako na #LapexProperties .