@chrisbennet_
Fundi mchundo from VETA
ID: 50088317
calendar_today23-06-2009 20:16:47
18,18K Tweet
1,1K Followers
260 Following
19 days ago
Graphics matata sana, hamna yale ma caves kila bus wanaweka
18 days ago
Watu wa Dodoma huwaambii kitu kuhusu hili paa
16 days ago
Jiko gani?
Tesha ana ndevu
14 days ago
Au tulete na hii?
Yule Rama D wa kipindi cha asubuhi pale crown ni sawa na watangazaji wanne. Jamaa ansongesha peke yake na kipindi kina noga
Lory la abiria
Furaha FM, mjini FM na Crown FM zinajitahidi sana kuja na ubunifu wa vipindi, na style za utangazaji Ila kuna vipindi bado ni copy paste from Clouds FM
Umetohoa kwenye ile ya waSomali
8 days ago
Matambuu na kijiji chake, anavuta Henred
Wafunge jiko la 93
6 days ago
Kiomboi
According to Labour act usipofika kazini siku 5 bila taarifa rasmi umejifukuzisha kazi, hamna kesi hapo
5 days ago
Hizi chuma zipo powered na jiko gani? Kama ni mninga mwaka tu AC chali, mwaka wa pili na chuma tunapaki
Ndio ulalie godoro la zege?🤣🤣
Wamepewa wajifunzie kwanza, wakishazoea baada ya miaka 10 watapata yenye AC
Wajukuu wa Malafyale
Nenda NIT ukachukua gamba kwanza