CHEGGE OO7 (@cheggesosy) 's Twitter Profile
CHEGGE OO7

@cheggesosy

ID: 1909207399933550592

calendar_today07-04-2025 11:32:27

3 Tweet

1 Followers

133 Following

Gideon Kitheka Snr (@gideon_kitheka) 's Twitter Profile Photo

Tumekusomesha, umefika Chuo Kikuu, umepata kazi nzuri, mshahara mkubwa. Ukatusahau wazazi wako. Hata senti ya msaada hukuleta. Leo umekufa rafiki zako wanakuleta kijijini tukuzike. UTACHEZEA MBOKO KABLA YA KUKUZIKA. Nyau wewe.

Random World Ψ (@randomworldke) 's Twitter Profile Photo

Nakuru nayo ikifika ni maandamano, you better listen to them ,juu mtachoka😑. They don't get tired,they keep coming kama Vietnamese 😳

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Hairuhusiwi kutazama kwa watu wenye umri chini ya miaka 18 🚫 Video hii inamuonesha Mwanaume mmoja aliyevalia Suti Nyeusi akimtwanga Ngumi matata kijana anayesadikika kuwa ni miongoni mwa Vibaka waliokwenda kufanya fujo kwenye mkutano wa CHADEMA Igunga mkoani Tabora

MISOKI (@misoki97) 's Twitter Profile Photo

Ila Egonga Baltasar ni kiboko ,Amekula mke wa kaka yake,Mke wa waziri mkuu,Wamafanyakazi wenzake ndio usiseme Nimeweka video mbili tatu tujikumbushe🥵🥵

Ila Egonga Baltasar ni kiboko ,Amekula mke wa kaka yake,Mke wa waziri mkuu,Wamafanyakazi wenzake ndio usiseme

 Nimeweka video mbili tatu tujikumbushe🥵🥵
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Hii ndo Hotuba ya mwisho ya Mhe. Tundu Antiphas Lissu kwenye ziara ya #NoReformsNoElection ambayo ilifanyika Mkoa wa Ruvuma Hapa alikuwa Bamba bay baada ya Hotuba hii Polisi wa Idd Amin Mama walimkamata na kumbambika kesi ya Uhaini mpaka leo yupo Gereza la Ukonga. #FreeTunduLissu

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbalali Steven Katemba kapewa heshima ya kutoa salamu za rambi rambi kwenye mazishi ya Padre Vitalis Bamuhiga wa jimbo katoliki Kayanga. Baada ya kutoa SALAMU anaanza kuleta UPUMBAVU wake wa siasa. Kanisa KATOLIKI lilishapiga marufuku

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_SHAURI_LA_UHAINI Part 1 Mahakama imeamuru kuwa committal itasomwa yote bila kurushwa live. Wakili wa Serikali Katuga anaendelea kusoma kwa sasa. Maajabu yaliyotokea ni kwamba mawakili wa serikali waliomba maelezo ya mashahidi wa siri yasirushwe live. Lakini cha

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_SHAURI_LA_UHAINI Part 2 Huyu sasa ni shaidi wa pili baada ya yule wa kwanza ambae ni George. Tarehe 03/04 mtumiaji wa mtandao huo wa YouTube yaani akaunti ya JAMBO TV alichapisha maudhui yakiyojulikana TUNDU LISSU uso kwa uso na watia nia chadema. Katika video hiyo