Saidi Bushiri (@bushirisai53345) 's Twitter Profile
Saidi Bushiri

@bushirisai53345

Selous regional youth secretary

ID: 1753119941891403776

calendar_today01-02-2024 18:16:02

793 Tweet

283 Takipçi

1,1K Takip Edilen

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Chama cha ACT Wazalendo kimeweka wazi dhamira yake ya kuijenga Tanzania mpya yenye haki, usawa na usalama wa raia, ikiwa ni sehemu ya maudhui ya Ilani ya Uchaguzi ya ACT ya mwaka 2025- 2030. Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalumu wa chama hicho unaofanyika Mlimani City,

NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana Mhe. Luhaga Mpina kwa kuaminiwa na Chama chetu ACTWazalendo kupeperusha bendera ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hii ni hatua kubwa si tu kwa kanda ya ziwa, bali kwa kila Mtanzania anayetamani mabadiliko ya kweli. Tunajivunia wewe –

Hongera sana Mhe. Luhaga Mpina kwa kuaminiwa na Chama chetu <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> kupeperusha bendera ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hii ni hatua kubwa si tu kwa kanda ya ziwa, bali kwa kila Mtanzania anayetamani mabadiliko ya kweli.

Tunajivunia wewe –
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Luhaga Joelson Mpina na Mgombea Mwenza Bi. Fatma Abdulhabib Ferej kwa tiketi ya ACTWazalendo katika Uchaguzi wa mwaka 2025

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Luhaga Joelson Mpina na Mgombea Mwenza Bi. Fatma Abdulhabib Ferej kwa tiketi ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> katika Uchaguzi wa mwaka 2025
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Mgombea Mwenza Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Fatma Abdulhabib Ferej kwa tiketi ya ACTWazalendo katika Uchaguzi wa mwaka 2025. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Mgombea Mwenza Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Fatma Abdulhabib Ferej kwa tiketi ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> katika Uchaguzi wa mwaka 2025.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
Anthony ISHIKA Mghamba 🇹🇿 (@anthonyishikatz) 's Twitter Profile Photo

Mgombea Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2025 Ndugu Luhaga Joelson Mpina Luhaga Mpina pamoja na Mgombea Mwenza Bi. Fatma Abdulhabib Ferej Fatma Ferej kwa Tiket ya Chama Cha ACT Wazalendo ACTWazalendo Oktober #LindaKura #MhuniHasusiwi

Mgombea Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2025 Ndugu Luhaga Joelson Mpina <a href="/LuhagaMpina/">Luhaga Mpina</a> pamoja na Mgombea Mwenza Bi. Fatma Abdulhabib Ferej <a href="/ferej_fatma/">Fatma Ferej</a> kwa Tiket ya Chama Cha ACT Wazalendo <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Oktober #LindaKura #MhuniHasusiwi
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Furaha ya kiongozi pale anapoona chama kikisonga mbele chini ya usimamizi wake na mashirikiano na Wanachama anaowaongoza. Tuna Kiongozi wa Chama. Tuna KC Dorothy Semu. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Furaha ya kiongozi pale anapoona chama kikisonga mbele chini ya usimamizi wake na mashirikiano na Wanachama anaowaongoza. Tuna Kiongozi wa Chama. Tuna KC  <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a>. 

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi 
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
TheGuardianTzOnline (@theguardiantzo1) 's Twitter Profile Photo

#Update Following the nomination of Luhaga Mpina by the General Congress as the ACT-Wazalendo presidential candidate, the Congress has also appointed Fatma Ferej as his running mate. Fatma, who serves as the Secretary of the party’s Women’s Wing, is a former Member of

#Update Following the nomination of Luhaga Mpina by the General Congress as the ACT-Wazalendo presidential candidate, the Congress has also appointed Fatma Ferej as his running mate.

Fatma, who serves as the Secretary of the party’s Women’s Wing, is a former Member of
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Katika jambo lolote muda ndio kila kitu. Hata kwa Ndugu Luhaga Mpina, muda ndio umeamua awe Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACTWazalendo. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Veronica Ndagije (@ndagijeveronic2) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (2025 - 2030) Wazanzibar wataamua ama waendelee kuwa koloni la Tanganyika au wawe na nchi yao wenyewe. Mimi nawashauri wahakikishe wanachagua Othman Masoud Othman chini ya ACTWazalendo ili awapatie; #ZanzibariMpya #ZanzibariMoja #MamlakaKamili

Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (2025 - 2030)
Wazanzibar wataamua ama waendelee kuwa koloni la Tanganyika au wawe na nchi yao wenyewe.
Mimi nawashauri wahakikishe wanachagua <a href="/othmasoud/">Othman Masoud Othman</a> chini ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> ili awapatie;
#ZanzibariMpya
#ZanzibariMoja
#MamlakaKamili
Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

Agosti 09, 2025 Malindi Unguja, kutakuwa na mapokezi ya Mgombea Urais wa Zanzibar, Ndugu Othman Masoud Othman. Atasindikizwa na Mgombea Urais wa Tanzania na mgombea mwenza; Ndugu Luhaga Mpina na Fatma Ferej mtawalia. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Agosti 09, 2025 Malindi Unguja, kutakuwa na mapokezi ya Mgombea Urais wa Zanzibar, Ndugu <a href="/othmasoud/">Othman Masoud Othman</a>.

Atasindikizwa na Mgombea Urais wa Tanzania na mgombea mwenza; Ndugu <a href="/LuhagaMpina/">Luhaga Mpina</a> na <a href="/FatmaFereji/">Fatma Ferej</a> mtawalia.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi 
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

📍Babati Manyara Leo Mgombea wa Urais Tanzania kwa tiketi ya ACTWazalendo, Ndg Luhaga Mpina amefika Mkoa wa Manyara kuomba udhamini wa wapiga kura ili kukidhi matakwa ya kisheria kabla ya kuteuliwa rasmi na INEC kuwa Mgombea Urais wa Tanzania. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

📍Babati Manyara

Leo Mgombea wa Urais Tanzania kwa tiketi ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndg Luhaga Mpina amefika Mkoa wa Manyara kuomba udhamini wa wapiga kura ili kukidhi matakwa ya kisheria kabla ya kuteuliwa rasmi na INEC kuwa Mgombea Urais wa Tanzania.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi