Bonnah Ladislaus Kamoli (@bonnahka) 's Twitter Profile
Bonnah Ladislaus Kamoli

@bonnahka

Mwakilishi Wa Wananchi Wa Jimbo la Segerea katika Bunge la 11 na 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015-2020,2020-2025. #TukutaneJimboni

ID: 4522548075

linkhttps://www.parliament.go.tz calendar_today18-12-2015 08:04:24

2,2K Tweet

37,37K Takipçi

138 Takip Edilen

Bonnah Ladislaus Kamoli (@bonnahka) 's Twitter Profile Photo

Mpaka Sasa Jimbo la Segerea tuna Vikundi 376 vya wanawake vinavyo nufaika na Mikopo ya 10% ya Halmashauri, hivyo tunatengeneza wigo mpana wa Wanawake kujikwamua kiuchumi. #ElimikaWikiendi #HojaZetu

Mpaka Sasa Jimbo la Segerea tuna Vikundi 376 vya wanawake vinavyo nufaika na Mikopo ya 10% ya Halmashauri, hivyo tunatengeneza wigo mpana wa Wanawake kujikwamua kiuchumi. 

#ElimikaWikiendi #HojaZetu
Bonnah Ladislaus Kamoli (@bonnahka) 's Twitter Profile Photo

Mwanamke kwenye ngazi ya uongozi husikilizwa zaidi akiweza kuunganisha jamii. Jimboni kwangu wananchi wengi wananipa ushirikiano kutokana na kushiriki kwa pamoja katika shughuli za Kijamii na Maendeleo. #ElimikaWikiendi #HojaZetu

Mwanamke kwenye ngazi ya uongozi husikilizwa zaidi akiweza kuunganisha jamii.

Jimboni kwangu wananchi wengi wananipa ushirikiano kutokana na kushiriki kwa pamoja katika shughuli za Kijamii na Maendeleo. 

#ElimikaWikiendi #HojaZetu
Bonnah Ladislaus Kamoli (@bonnahka) 's Twitter Profile Photo

Fursa za michezo - Kupitia mashindano ya Bonnah Segerea Cup, Jimbo la segerea tumefanikiwa kuwaunganisha vijana na kusambaza jumbe mbalimbali za kutokomeza Ukatili, kuhamasisha shughuli za maendeleo. #ElimikaWikiendi #HojaZetu

Bonnah Ladislaus Kamoli (@bonnahka) 's Twitter Profile Photo

▪︎ Programu za michezo zinachochea kwa kiasi kikubwa kupata sauti za wananchi, kubainisha mahitaji yao na kupata ufumbuzi wa pamoja. #ElimikaWikiendi #HojaZetu

Bonnah Ladislaus Kamoli (@bonnahka) 's Twitter Profile Photo

Changamoto zinazowakumba wanawake kwenye chaguzi 1. Kutokujiamini - Hali hii hupunguza idadi ya viongozi wanawake bora kwa kushindwa kujibu hoja kwenye michakato ya chaguzi #ElimikaWikiendi #HojaZetu

Bonnah Ladislaus Kamoli (@bonnahka) 's Twitter Profile Photo

2. Wanawake kutoungana mkono - Baadhi ya wanawake wanakumbana na kadhia hii inayowarudisha nyuma, ni muhimu kupeana moyo. #ElimikaWikiendi #HojaZetu

Bonnah Ladislaus Kamoli (@bonnahka) 's Twitter Profile Photo

3. Mila na Desturi - baadhi ya tamaduni zinakwamisha jitihada za wanawake kushika nyadhifa mbalimbali ni muhimu kuendelea kuelimishana ili kupata kuondoka na Kasumba hii, ili tupate viongozi bora. #ElimikaWikiendi #HojaZetu

Bonnah Ladislaus Kamoli (@bonnahka) 's Twitter Profile Photo

MWISHO; Nipende kuwatakia kila la Kheri wanawake wote waliotia nia kugombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa na niwakaribishe kwenye ulingo wa siasa. Karibu Sana Jimbo La Segerea. 😊🙏🏾 #ElimikaWikiendi #HojaZetu

MWISHO; 

Nipende kuwatakia kila la Kheri wanawake wote waliotia nia kugombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa na niwakaribishe kwenye ulingo wa siasa. 

Karibu Sana Jimbo La Segerea. 😊🙏🏾

#ElimikaWikiendi #HojaZetu
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Asante kwa 𝘀𝗮𝗽𝗼𝘁𝗶 2024 - Mhe. Bonnah Ladislaus Kamoli. Familia ya #ElimikaWikiendi imekuvika 2025 za amani, upendo na mafanikio wewe na familia yako. 𝑯𝒖𝒔𝒕𝒍𝒆 𝒛𝒂𝒌𝒐 𝒛𝒊𝒌𝒂𝒋𝒊𝒑𝒆!

Asante kwa 𝘀𝗮𝗽𝗼𝘁𝗶 2024 - Mhe. <a href="/BonnahKa/">Bonnah Ladislaus Kamoli</a>.

Familia ya #ElimikaWikiendi imekuvika 2025 za amani, upendo na mafanikio wewe na familia yako.

𝑯𝒖𝒔𝒕𝒍𝒆 𝒛𝒂𝒌𝒐 𝒛𝒊𝒌𝒂𝒋𝒊𝒑𝒆!
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Shukrani za dhati kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa chama chetu, chama kinachobeba mustakabali wa Taifa letu na imani ya Watanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa kuniteua kuwa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu, 2025. Sauti

Shukrani za dhati kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa chama chetu, chama kinachobeba mustakabali wa Taifa letu na imani ya Watanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa kuniteua kuwa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu, 2025. 

Sauti
The Man Himself. 😎💪🏾 (@elycaptano) 's Twitter Profile Photo

Taasisi ya Omuka Hub kwa kushirikiana na shirika la kimatifa Women Political Leaders leo wanafanya semina ya kuwajengea uwezo viongozi wanawake juu ya teknolojia ya Akili Mnemba. Mhe @NeemaLugangira mkurugenzi Omuka Hub Cc GIZ Women Political Leaders #FemaleAILeaders #FemaleAiLeaders

Taasisi ya <a href="/OmukaHub/">Omuka Hub</a> kwa kushirikiana na shirika la kimatifa <a href="/WPLeadersOrg/">Women Political Leaders</a> leo wanafanya semina ya kuwajengea uwezo viongozi wanawake juu ya teknolojia ya Akili Mnemba.

Mhe @NeemaLugangira mkurugenzi <a href="/OmukaHub/">Omuka Hub</a>

Cc <a href="/giz_gmbh/">GIZ</a> <a href="/WPLeadersOrg/">Women Political Leaders</a>
#FemaleAILeaders 

#FemaleAiLeaders
The Man Himself. 😎💪🏾 (@elycaptano) 's Twitter Profile Photo

Kupitia mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi juu ya teknolojia ya Akili Mnemba tumewakutanisha wabunge wanawake, kamati za bunge, waandishi wa habari, taasisi ya maendeleo ya jamii na wabunge wanaume katika kuleta Usawa wa kijinsia - Mhe @NeemaLugangira mkurugenzi wa Omuka Hub

Kupitia mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi juu ya teknolojia ya Akili Mnemba tumewakutanisha wabunge wanawake, kamati za bunge, waandishi wa habari, taasisi ya maendeleo ya jamii na wabunge wanaume katika kuleta Usawa wa kijinsia - 

Mhe @NeemaLugangira mkurugenzi wa <a href="/OmukaHub/">Omuka Hub</a>
The Man Himself. 😎💪🏾 (@elycaptano) 's Twitter Profile Photo

"Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania limefurahi kuwa sehemu ya kunufaika na mafunzo ya teknolojia ya Akili Mnemba." Mhe FatmaToufiq muwakilishi wa Spika wa Bunge la JMT, Dkt Tulia Ackson Cc GIZ Omuka Hub Women Political Leaders #FemaleAiLeaders

"Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania limefurahi kuwa sehemu ya kunufaika na mafunzo ya teknolojia ya Akili Mnemba." 

Mhe FatmaToufiq muwakilishi wa Spika wa Bunge la JMT, Dkt Tulia Ackson
Cc <a href="/giz_gmbh/">GIZ</a> <a href="/OmukaHub/">Omuka Hub</a> <a href="/WPLeadersOrg/">Women Political Leaders</a> 
#FemaleAiLeaders