Henry Bito (@bito_henry) 's Twitter Profile
Henry Bito

@bito_henry

God first

ID: 1062640807713427456

calendar_today14-11-2018 09:38:06

6,6K Tweet

1,1K Followers

4,4K Following

mastermind (@firstborn255) 's Twitter Profile Photo

Naskia mange kachanganyikiwa huko baada ya kuskia kua nchi inaenda kwenye maridhiano soon Anawaza ujinga na kuichafua Tanzania na kupanga upuuzi ila anatakiwa ajue kua Tanzania ni salama sana na maisha yasharudi kama zamani

Naskia mange kachanganyikiwa huko baada ya kuskia kua nchi inaenda kwenye maridhiano soon 

Anawaza ujinga na kuichafua Tanzania na kupanga upuuzi ila anatakiwa ajue kua Tanzania ni salama sana na maisha yasharudi kama zamani
AK47 (@bokeagang1) 's Twitter Profile Photo

RADHI YA MBOWE YAIVURUGA CHADEMA: MGOGORO MKUBWA UNAENDELEA NDANI YA CHADEMA Na Mwandishi Wetu. Hali ya sintofahamu imezidi kushika kasi ndani ya chadema, huku kile kinachoelezwa kama β€œradhi ya Mbowe” kikitajwa kuwa chanzo kipya cha misuguano, mvutano na mpasuko unaoanza

RADHI YA MBOWE YAIVURUGA CHADEMA: MGOGORO MKUBWA UNAENDELEA NDANI YA CHADEMA

Na Mwandishi Wetu.     

Hali ya sintofahamu imezidi kushika kasi ndani ya chadema, huku kile kinachoelezwa kama β€œradhi ya Mbowe” kikitajwa kuwa chanzo kipya cha misuguano, mvutano na mpasuko unaoanza
Pumpkin πŸŽƒ (@apvmpkin) 's Twitter Profile Photo

Maria alimuaminisha Lissu kuwa njia pekee ya yeye kuwa Rais ni kupush ajenda ya No Reforms, No Elections. Masikini kama fala Lissu akaaminishwa kuwa wakishapindua Serikali yeye ataenda kutolewa jela kama Mandela na kupewa urais πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Asichokijua ni kwamba hata nchi

Maria alimuaminisha Lissu kuwa njia pekee ya yeye kuwa Rais ni kupush ajenda ya No Reforms, No Elections. Masikini kama fala Lissu akaaminishwa kuwa wakishapindua Serikali yeye ataenda kutolewa jela kama Mandela na kupewa urais πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Asichokijua ni kwamba hata nchi
Headboy wa mtaa (@sirajitz1) 's Twitter Profile Photo

Hiki kitakua chuo gani ?πŸ€” Huyu jamaa alikua akitoka kimapenzi na demu wa lecturer, lecturer baada ya kugundua cheki alichomfanya mbele ya darasa je ni sahihi kweli hii? Cheki video hapa chiniπŸ‘‡πŸΏ

Hiki kitakua chuo gani ?πŸ€”

Huyu jamaa alikua akitoka kimapenzi na demu wa lecturer, lecturer baada ya kugundua cheki alichomfanya mbele ya darasa je ni sahihi kweli hii?

Cheki video hapa chiniπŸ‘‡πŸΏ
Headboy wa mtaa (@sirajitz1) 's Twitter Profile Photo

Kuna video nimeona sjajua ni chuo gani kile ila lecturer anampiga jamaa mbele ya darasa baada ya kugundua kua anadate na demu wake. Yule demu anasimulia kua alikua akidate na mshikaji, ila kuna siku lecturer alimuita akamwambia kua

Headboy wa mtaa (@sirajitz1) 's Twitter Profile Photo

TUONGEZE FOLLOWERS WETU SASA HIVI WAKUU HAPAπŸ”₯πŸ”₯ ✍️ Reply handle yako hapa ✍️ Like handle zilizowekwa na watu ✍️ Mtu aki like handle yako mfollow ✍️ Mtu akikufollow follow back usimuunfollow usiku wa mananeπŸ“Œ Kwa pamoja tutafika 10K.