Phoenix (@benittotz) 's Twitter Profile
Phoenix

@benittotz

.

ID: 3555105981

calendar_today05-09-2015 11:58:30

2,2K Tweet

465 Takipçi

752 Takip Edilen

Ole Sendoro King’oso (@kingosoc) 's Twitter Profile Photo

Thomas J. Kibwana Phoenix celestine Kenny Mmari Snr. Zitto MwamiRuyagwa Kabwe All I know in terms of GDP gap sio kubwa kihivyo. Mimi naamini sector ya nyumba na makazi kwa mfano tunavyoviona kulew vijijini haiko included with accuracy and completeness, kwy kukokotoa GDP; matokeo yake uchumi wetu unaonekana mdogo just because of minor culculaion caused

Ole Sendoro King’oso (@kingosoc) 's Twitter Profile Photo

Thomas J. Kibwana Phoenix celestine Kenny Mmari Snr. Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Au wewe Thomas J. Kibwana uliona lini NBS na au BOT wakihesabu nyumba mpya kwa mwaka kama namna ya ku-determine growth? Uchumi wetu umeficha matrillion kwy sekta ya nyumba na makazi. Lakini data hazipo what do we expect?

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Phoenix Joel Ntile Ole Sendoro King’oso Thomas J. Kibwana celestine Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Kuna mtaalamu wangu mmoja aliniambia kuwa kipimo rahisi ni Energy Consumption. Alisema kuwa, kwa kitumia megawati 1200-1500 kwa miaka yote tulikuwa na uchumi kama wa sasa, tukiweza kuvutia matumizi ya megawati 2100 basi tutakuaa na uchumi mkubwa mara tatu ya sasa. Hivyo

Phoenix (@benittotz) 's Twitter Profile Photo

Umewahi kula Kitimoto choma ya Himo, barabara ya Marangu pale Mbeya City?? Au basi kiburu au shiro na chai ya mchai chai asubuhi? Too much spices na junk foods sio mapish boss 😀

Phoenix (@benittotz) 's Twitter Profile Photo

Nadhani mzee kupoteza ule uchaguzi ili bruise ego yake sana. Yanayoendelea saiv ni kama anataka kuonyesha who is powerful & influencial kwa hii game. It’s not about legacy tena. Ameamua ku resit paper afute D 😂 What do u think? Thomas J. Kibwana celestine Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒

Phoenix (@benittotz) 's Twitter Profile Photo

Pardon my folly, should I have once uttered 'I love you' 'twas but a tender falsehood, sung by a heart too fractured to feel, yet too human to remain silent

Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wajumbe akifungua rasmi Mkutano mkuu wa CCM Taifa Leo Tarehe 29 Mei 2025. #kazinaututunasongambele

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wajumbe akifungua rasmi Mkutano mkuu wa CCM Taifa Leo Tarehe 29 Mei 2025.

#kazinaututunasongambele