Asma Mdoe (@asmamdoe) 's Twitter Profile
Asma Mdoe

@asmamdoe

Diplomat🇹🇿 & Binti CCM ,Katibu uhamasishaji na chipukizi UVCCM Kata ya Mnyamani .
Mjumbe wa baraza UVCCM Wilaya ya Ilala Dar es salaam.

ID: 1563139858175905795

calendar_today26-08-2022 12:23:08

118 Tweet

305 Followers

1,1K Following

Asma Mdoe (@asmamdoe) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti uvccm Wilaya ya Ilala akiwa pamoja na Wajumbe wa baraza uvccm Wilaya ya Ilala baada ya kutembelea vijana wa hamasa wakiwa mazoezini katika Maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2023.UVCCM TZ

Mwenyekiti uvccm Wilaya ya Ilala akiwa pamoja na Wajumbe wa baraza uvccm Wilaya ya Ilala  baada ya kutembelea vijana wa hamasa wakiwa  mazoezini katika Maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru  2023.<a href="/uvccm_tz/">UVCCM TZ</a>
Asma Mdoe (@asmamdoe) 's Twitter Profile Photo

RATIBA YA UCHAGUZI WA CHIPUKIZI KUANZIA NGAZI YA TAWI HADI WILAYA. "CHIPUKIZI WA CCM ELIMU NA MATUMAINI". Cde Asma Mdoe Katibu hamasa na Chipukizi uvccm kata ya Mnyamani. (MBARAZA UVCCM WILAYA YA ILALA). .

RATIBA YA UCHAGUZI WA CHIPUKIZI  KUANZIA NGAZI YA TAWI HADI WILAYA. "CHIPUKIZI  WA CCM ELIMU NA MATUMAINI".
Cde Asma Mdoe
Katibu hamasa na Chipukizi uvccm kata ya Mnyamani.
(MBARAZA UVCCM WILAYA YA ILALA).     .
Asma Mdoe (@asmamdoe) 's Twitter Profile Photo

ILANI INATEKELEZWA HAKUNA KILICHOSIMAMA .KAZI INAENDELEA. #sisinamamamleziwawana. CDE:ASMA MDOE KATIBU HAMASA NA CHIPUKIZI UVCCM KATA YA MNYAMANI.

ILANI INATEKELEZWA HAKUNA KILICHOSIMAMA .KAZI INAENDELEA.
#sisinamamamleziwawana.

CDE:ASMA MDOE 
KATIBU HAMASA NA CHIPUKIZI UVCCM KATA YA MNYAMANI.
Asma Mdoe (@asmamdoe) 's Twitter Profile Photo

May Allah solve all My challenges, put smile on my face, joy in my heart and protect me from enemies that may appear to me. May His Kindness and Mercy be with Me and my family now and always, Barka da Juma'a 🤲.

May Allah solve all My challenges, put smile on my face,  joy in my heart and protect me from enemies that may appear to me. May His Kindness and Mercy be with Me and my family now and always, 
Barka da  Juma'a 🤲.
Asma Mdoe (@asmamdoe) 's Twitter Profile Photo

Kila mtoto anahaki ya kupata elimu katika Mazingira Mazuri,Safi na Salama.Ahsante Mhe.Dkt. @samia_suluhu_hassan Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa Kutupatia Shule ya Msingi Mnyamani katika Kata ya Mnyamani ,Wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam.#Kaziiendelee

Kila mtoto anahaki ya kupata elimu katika Mazingira Mazuri,Safi na Salama.Ahsante  Mhe.Dkt. @samia_suluhu_hassan Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania   kwa Kutupatia Shule ya Msingi Mnyamani  katika Kata ya Mnyamani ,Wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam.#Kaziiendelee
Asma Mdoe (@asmamdoe) 's Twitter Profile Photo

Siku ya jana nilishiriki katika usafi wa Mazingira katika eneo la kata ya Mnyamani na Buguruni ulioongozwa na Mhe.Mpogolo Mkuu wa wilaya ya Ilala pamoja na viongozi mbalimbali wakiwemo Mhe.Omari Kumbilamoto Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam na Wananchi.