MARLEY (@funjojr) 's Twitter Profile
MARLEY

@funjojr

THE GIANT LOOKS IN THE MIRROR AND SEES NOTHING

DONDA

ID: 1146783022282358785

calendar_today04-07-2019 14:09:13

270,270K Tweet

316,316K Takipçi

2,2K Takip Edilen

Trust The Process (@daveconscious) 's Twitter Profile Photo

Naaamm.....Kwenye Playlist yangu ya Gym ile Ngoma yao ya Neno Huwa Inakita Kila Siku Masikioni, Walinyoosha Sana n Ukisikiliza fresh unaona kabisa Jamaa ni Wana na Haikuwa tu collabo ya Kawaida !!

Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒 (@barakamaviatu) 's Twitter Profile Photo

HP EliteBook 845 G7 AMD Ryzen 5 PRO 4650U 💽𝗥𝗮𝗺: 16GB 3200 MHz 💾𝗦𝘁𝗼𝗿𝗮𝗴𝗲: 256 GB NVMe AMD Radeon Graphics - 512 MB 🖥𝗗𝗶𝘀𝗽𝗹𝗮𝘆: 14 Inch FHD Display (1920x1080) 🔋: 56WHr 🎁𝗖𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲𝗿 & 🎒𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 𝗕𝗮𝗴 Tsh.850,000 Location:📌 Mawasiliano

HP EliteBook 845 G7

AMD Ryzen 5 PRO 4650U

💽𝗥𝗮𝗺: 16GB 3200 MHz

💾𝗦𝘁𝗼𝗿𝗮𝗴𝗲: 256 GB NVMe

AMD Radeon Graphics - 512 MB

🖥𝗗𝗶𝘀𝗽𝗹𝗮𝘆: 14 Inch FHD Display (1920x1080)

🔋: 56WHr 

🎁𝗖𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲𝗿  & 🎒𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 𝗕𝗮𝗴

Tsh.850,000

Location:📌 Mawasiliano
Paschal sam (@paschalsam1) 's Twitter Profile Photo

📍Singida Ujenzi wa barabara ya Mandewa 69 km kazi inaendelea na imefikia asilimia 88 na kwa sasa kazi ya ujenzi wa vivuko vya magari na watembea kwa miguu na mradi huo unatarajiwa kukamilika hivi karibuni. #OktobaTunatikiSamia

📍Singida 

Ujenzi wa barabara ya Mandewa 69 km kazi inaendelea na imefikia asilimia 88 na kwa sasa kazi ya ujenzi wa vivuko vya magari na watembea kwa miguu na mradi huo unatarajiwa kukamilika hivi karibuni. 

#OktobaTunatikiSamia
MARLEY (@funjojr) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya Kutunukiwa Nishani ya Heshima ya Juu ya Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (The Grand Cordon), Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Agosti, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya Kutunukiwa Nishani ya Heshima ya Juu ya Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (The Grand Cordon), Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Agosti, 2025.
MARLEY (@funjojr) 's Twitter Profile Photo

Viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya kutunukiwa Nishani ya CISM kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini Dar es Salam tarehe 14 Agosti, 2025.

Viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya kutunukiwa Nishani ya CISM kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini Dar es Salam tarehe 14 Agosti, 2025.
MARLEY (@funjojr) 's Twitter Profile Photo

Matukio mbali mbali ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Nishani ya Heshima ya Juu ya Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (The Grand Cordon) na Makamu wa Rais wa CISM Kanda ya Afrika Meja Jenerali..

Matukio mbali mbali ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Nishani ya Heshima ya Juu ya Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (The Grand Cordon) na Makamu wa Rais wa CISM Kanda ya Afrika Meja Jenerali..