Frank Nyabundege (@fnyabundege) 's Twitter Profile
Frank Nyabundege

@fnyabundege

ID: 845689331973066752

calendar_today25-03-2017 17:30:23

349 Tweet

596 TakipΓ§i

287 Takip Edilen

Ministry of Finance Tanzania (@mofurt) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb) na Naibu Waziri wake, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) (katikati), wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Wizara hiyo pamoja na Taasisi zake baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Mafungu (9) ya Wizara ya Fedha na

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. <a href="/mwigulunchemba1/">Mwigulu Nchemba, PhD</a>  (Mb) na Naibu Waziri wake, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) (katikati), wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Wizara hiyo pamoja na Taasisi zake baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Mafungu (9) ya Wizara ya Fedha na
Tanzania Agricultural Development Bank (@tadbtz) 's Twitter Profile Photo

Bajeti 2023/2024: Serikali kuiongezea mtaji TADB Hayo yamesemwa na Mhe.Dkt. Waziri Nchemba alipokuwa akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Bungeni, Dodoma. Ahsante Mama, Kazi iendelee! #TADB #KilimoKinaBenkika #KilimoNiBiashara

Tanzania Agricultural Development Bank (@tadbtz) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi Mtendaji Tanzania Agricultural Development Bank Frank Nyabundege amekutana na Makamu wa Rais wa @afdb_group anaeshughulikia Sekta ya Kilimo, Maendeleo ya Kibinadamu na Kijamii Dkt. Beth Dunford kuzungumzia ushiriano baina ya taasisi hizi mbili katika kilimo, mifugo na uvuvi. #kilimoUshirikiano

Mkurugenzi Mtendaji <a href="/tadbtz/">Tanzania Agricultural Development Bank</a> <a href="/franknyabundege/">Frank Nyabundege</a> amekutana na Makamu wa Rais wa @afdb_group anaeshughulikia Sekta ya Kilimo, Maendeleo ya Kibinadamu na Kijamii Dkt. <a href="/beth_dunford/">Beth Dunford</a> kuzungumzia ushiriano baina ya taasisi hizi mbili katika  kilimo, mifugo na uvuvi.

#kilimoUshirikiano
Tanzania Agricultural Development Bank (@tadbtz) 's Twitter Profile Photo

Kheri ya Wiki Mpya Kusini Kilimo Kina Benkika! πŸ“LindiπŸ“MtwaraπŸ“Ruvuma Tembelea ofisi zetu Jengo la Raha Leo Mtwara mjini karibu na ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa mikopo ya kilimo, uvumi na ufugaji. #TADB #KilimoKinaBenkika #Mtwara #Lindi #Ruvuma

Kheri ya Wiki Mpya

Kusini Kilimo Kina Benkika!

πŸ“LindiπŸ“MtwaraπŸ“Ruvuma

Tembelea ofisi zetu Jengo la Raha Leo Mtwara mjini karibu na ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa mikopo ya kilimo, uvumi na ufugaji.

#TADB
#KilimoKinaBenkika
#Mtwara  #Lindi  #Ruvuma
The Hustler (@mashonjr) 's Twitter Profile Photo

MIKOPO YA KILIMO "Idadi ya mikopo imekuwa ikipanda; tulikuwa na mikopoΒ ya Sh. Bil 110; hadi kufikia Juni 30, 2023 tulikuwa naΒ  jumla ya mikopo ya Sh. Bil 317 na tunaamini hadi kufikia mwezi Desemba mwaka huu itaongezeka zaidi” -Frank Nyabundege mkurugenzi Tanzania Agricultural Development Bank #MamaYukoKazini

MIKOPO YA KILIMO

 "Idadi ya mikopo imekuwa ikipanda; tulikuwa na mikopoΒ ya Sh. Bil 110; hadi kufikia Juni 30, 2023 tulikuwa naΒ  jumla ya mikopo ya Sh. Bil 317 na tunaamini hadi kufikia mwezi Desemba mwaka huu itaongezeka zaidi” -<a href="/FNyabundege/">Frank Nyabundege</a> mkurugenzi <a href="/tadbtz/">Tanzania Agricultural Development Bank</a> 
#MamaYukoKazini
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Heri ya miaka 73 ya kuzaliwa Mheshimiwa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete. Ahsante kwa utumishi wako kwa umma wa zaidi ya miaka 50 kwenye Chama Cha Mapinduzi, Jeshi la Wananchi wa Tanzania, na baadaye kama Rais wa nchi yetu. Nakutakia afya njema na wakati mwema unapokumbuka siku

Heri ya miaka 73 ya kuzaliwa Mheshimiwa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete. Ahsante kwa utumishi wako kwa umma wa zaidi ya miaka 50 kwenye Chama Cha Mapinduzi, Jeshi la Wananchi wa Tanzania, na baadaye kama Rais wa nchi yetu. Nakutakia afya njema na wakati mwema unapokumbuka siku
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu wa India Mhe. Narendra Modi mara baada ya kuwasili Ikulu ya India (Rashtrapati Bhawan) New Delhi nchini humo tarehe 09 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu wa India Mhe. Narendra Modi mara baada ya kuwasili Ikulu ya India (Rashtrapati Bhawan) New Delhi nchini humo tarehe 09 Oktoba, 2023.
Bank of Tanzania (@bankoftanzania) 's Twitter Profile Photo

Naibu Gavana, Bi. Sauda Msemo, leo katika Ofisi za BoT Dar es Salaam, amezindua Programu ya Ithibati ya Huduma za Kifedha( Certified Professional in Agricultural Finance) inayolenga kuwajengea uwezo wadau wa Sekta ya Kilimo kupitia elimu ya Huduma za Fedha katika sekta hiyo.

Naibu Gavana, Bi. Sauda  Msemo, leo katika Ofisi za BoT Dar es Salaam, amezindua  Programu ya Ithibati ya Huduma za Kifedha( Certified Professional in Agricultural Finance) inayolenga kuwajengea uwezo wadau wa Sekta ya Kilimo kupitia elimu ya Huduma za Fedha katika sekta hiyo.
Tanzania Agricultural Development Bank (@tadbtz) 's Twitter Profile Photo

TADB, BoT wazindua programu ya mafunzo ya kuboresha ukopeshaji katika sekta ya Kilimo TADB kwa kushirikiana na Chuo cha Mafunzo cha Benki Kuu (BoT Academy) wamezindua programu ya udhibiti wa wataalamu wa ukopeshaji sekta ya kilimo katika Ofisi ndogo ya BoT, Dar Es Salaam.

TADB, BoT wazindua programu ya mafunzo ya kuboresha ukopeshaji katika sekta ya Kilimo

TADB kwa kushirikiana na Chuo cha Mafunzo cha Benki Kuu (BoT Academy) wamezindua programu ya udhibiti wa wataalamu wa ukopeshaji sekta ya kilimo katika Ofisi ndogo ya BoT, Dar Es Salaam.
Wizara ya Kilimo (@wizarakilimo) 's Twitter Profile Photo

Taarifa sahihi ni kuwa Wizara ya Kilimo imewakilishwa na wajumbe WATANO tu ambao ni Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussein Bashe (Mb) pamoja na wataalaam wanne ambao ni Mchumi, mtaalamu wa Mawasiliano, mtaalamu wa Masoko na mtaalamu wa Mazingira.

π’π‘πšπ¦π›πš 𝐌𝐞𝐝𝐒𝐚 (@shambamedia) 's Twitter Profile Photo

Benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania Agricultural Development Bank imethubutu kuwafikia wafugaji wa kimasai ambao walionekana kuachwa na huduma za kifedha(mikopo) na benki nyingine. Baada ya TADB kuingia katika sekta ya mifugo; mikopo imewawezesha pia wafugaji kuanza kufuga kisasa.πŸ‚πŸ‡ΉπŸ‡Ώ | Cc: Frank Nyabundege

Benki ya maendeleo ya kilimo <a href="/tadbtz/">Tanzania Agricultural Development Bank</a> imethubutu kuwafikia wafugaji wa kimasai ambao walionekana kuachwa na huduma za kifedha(mikopo) na benki nyingine. Baada ya TADB kuingia katika sekta ya mifugo; mikopo imewawezesha pia wafugaji kuanza kufuga kisasa.πŸ‚πŸ‡ΉπŸ‡Ώ | Cc: <a href="/FNyabundege/">Frank Nyabundege</a>
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Nawatakia nyote kheri ya Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii kubwa kwa nchi yetu na kuwaombea viongozi waliotangulia mbele ya haki ambao walikuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wetu. Miaka hii 62 ya ujenzi wa Taifa letu inatupa

Nawatakia nyote kheri ya Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii kubwa kwa nchi yetu na kuwaombea viongozi waliotangulia mbele ya haki ambao walikuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wetu. 

Miaka hii 62 ya ujenzi wa Taifa letu inatupa
π’π‘πšπ¦π›πš 𝐌𝐞𝐝𝐒𝐚 (@shambamedia) 's Twitter Profile Photo

"Wanawake wengi ni nguvu kazi katika sekta ya kilimo, wengine vijana wametoka vyuoni, wengi wanashindwa kukopesheka kwa sababu ya kukosa dhamana, niwatie shime watanzania, serikali ya awamu ya 6 imetuongezea mataji katika mfuko wa dhamana, waende Exim bank kukopa" - Frank Nyabundege

"Wanawake wengi ni nguvu kazi katika sekta ya kilimo, wengine vijana wametoka vyuoni, wengi wanashindwa kukopesheka kwa sababu ya kukosa dhamana, niwatie shime watanzania, serikali ya awamu ya 6 imetuongezea mataji katika mfuko wa dhamana, waende Exim bank kukopa" - <a href="/FNyabundege/">Frank Nyabundege</a>
π’π‘πšπ¦π›πš 𝐌𝐞𝐝𝐒𝐚 (@shambamedia) 's Twitter Profile Photo

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kikao cha kuwasilisha taarifa ya mwaka mbele ya Msajili wa hazina ndugu Nehemia Mchechu, Mkurugenzi wa benki ya TADB Frank Nyabundege amesema thamani za mali za benki zimekua kutoka shilingi bilioni 448 hadi shilingi bilioni 647.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kikao cha kuwasilisha taarifa ya mwaka mbele ya Msajili wa hazina ndugu Nehemia Mchechu, Mkurugenzi wa benki ya TADB <a href="/FNyabundege/">Frank Nyabundege</a> amesema thamani za mali za benki zimekua kutoka shilingi bilioni 448 hadi shilingi bilioni 647.
π’π‘πšπ¦π›πš 𝐌𝐞𝐝𝐒𝐚 (@shambamedia) 's Twitter Profile Photo

"Mwaka 2023-24 serikali imeipatia benki ya TADB mtaji wa shilingi bilioni 170 ili tuweze kuwafikia wananchi wengi zaidi, benki yetu ni benki ya maendeleo, tunaendelea kukua ili tuweze kuleta maendeleo katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi nchini" - Frank Nyabundege

"Mwaka 2023-24 serikali imeipatia benki ya TADB mtaji wa shilingi bilioni 170 ili tuweze kuwafikia wananchi wengi zaidi, benki yetu ni benki ya maendeleo, tunaendelea kukua ili tuweze kuleta maendeleo katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi nchini" - <a href="/FNyabundege/">Frank Nyabundege</a>
π’π‘πšπ¦π›πš 𝐌𝐞𝐝𝐒𝐚 (@shambamedia) 's Twitter Profile Photo

πŸ‚ 🏦 Mkurugenzi mwendeshaji wa benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania Agricultural Development Bank Bw. Frank Nyabundege Frank Nyabundege amekipongeza Chama cha wafugaji wa ng'ombe kibiashara TCCS kwa kuandaa maonesho ya mifugo na mnada na kuahidi kuwa TADB itaendelea kuwa mdhamini mkuu wa maonesho hayo. #TADBπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

πŸ‚ 🏦 Mkurugenzi mwendeshaji wa benki ya maendeleo ya kilimo <a href="/tadbtz/">Tanzania Agricultural Development Bank</a> Bw. Frank Nyabundege <a href="/FNyabundege/">Frank Nyabundege</a> amekipongeza Chama cha wafugaji wa ng'ombe kibiashara TCCS kwa kuandaa maonesho ya mifugo na mnada na kuahidi kuwa TADB itaendelea kuwa mdhamini mkuu wa maonesho hayo. #TADBπŸ‡ΉπŸ‡Ώ