Mr. S.O.S ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@amtwike1) 's Twitter Profile
Mr. S.O.S ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@amtwike1

Air Traffic Controller||Graphics designer || SUA ALUMIN 2011

ID: 495787054

calendar_today18-02-2012 09:39:12

6,6K Tweet

1,1K Takipรงi

1,1K Takip Edilen

Mansoursโ€™ ๐ŸคŽ (@waizeresya) 's Twitter Profile Photo

TID is quite a character ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚smhhhh

Swahili Times (@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezitaka shule binafsi kutengeneza taifa linaloendana na maadili ya nchi ili wanafunzi wanapokuwa watu wazima waweze kujitegemea.

Clouds Media (@cloudsmedialive) 's Twitter Profile Photo

Katika mashindano ya usafi ngazi ya majiji yalihusisha jumla ya majiji sita, jiji la Tanga limeibuka kuwa mshindi wa kwanza kwa kupata asilimia 84 ya alama zote huku Mwanza ikishika nafasi ya mwisho kwa kuwa na asilimia 57. Hii ndiyo orodha kamili ya matokeo ya mashindano ya

Katika mashindano ya usafi ngazi ya majiji yalihusisha jumla ya majiji sita, jiji la Tanga limeibuka kuwa mshindi wa kwanza kwa kupata asilimia 84 ya alama zote huku Mwanza ikishika nafasi ya mwisho kwa kuwa na asilimia 57.
 
Hii ndiyo orodha kamili ya matokeo ya mashindano ya
SikilizaTogolani (@sikilizatogolan) 's Twitter Profile Photo

"Kwenye maisha mnaweza kuwa rika moja, mkafanya kazi pamoja, mkapambana pamoja ila kudra za Mungu ndio zitaamua yupi ayatangulie mafanikio na yupi awe wa mwisho kuyafikia." ~Togolani Mavura.

"Kwenye maisha mnaweza kuwa rika moja,  mkafanya kazi pamoja, mkapambana pamoja ila kudra za Mungu ndio zitaamua yupi ayatangulie mafanikio na yupi awe wa mwisho kuyafikia." ~Togolani Mavura.
Lemutuz TV (@lemutuztv) 's Twitter Profile Photo

Msanii wa vichekesho #Leonardo anasema alikuwa anaamini atafanikiwa kwenye muziki wa Hip-hop kwa lugha ha Kingereza. Na hiyi ni moja kati ya Verse zake, Vipi arudi kwenye Muziki au aendelee na Comedy!? #LemutuzUpdates