Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile
Agricultural Markets Development Trust

@amdttanzania

AMDT addresses systemic constraints diagnosed in Tanzanian agriculture through markets systems development to unleash sustainable largescale sector growth

ID: 982247587473313796

linkhttp://amdt.co.tz/ calendar_today06-04-2018 13:24:08

1,1K Tweet

2,2K Takipçi

282 Takip Edilen

Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

Katika kila shamba la alizeti, kuna hadithi ya mavuno makubwa, mafuta bora, na kipato kinachobadilisha maisha. Kwa mbegu moja tu ya alizeti, unapata mafuta yenye thamani, chakula bora, na nguvu za kubadilisha jamii! #NguvuYaAlizeti #KilimoChaFaida #MafutaBora #AMDT

Katika kila shamba la alizeti, kuna hadithi ya mavuno makubwa, mafuta bora, na kipato kinachobadilisha maisha. Kwa mbegu moja tu ya alizeti, unapata mafuta yenye thamani, chakula bora, na nguvu za kubadilisha jamii!
#NguvuYaAlizeti #KilimoChaFaida #MafutaBora  #AMDT
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

We remember the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, for his vision of unity, equality, and progress for all. A leader of wisdom, he aspired for every Tanzanian to have equal opportunities for success, especially in agriculture and economic development.

We remember the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, for his vision of unity, equality, and progress for all. A leader of wisdom, he aspired for every Tanzanian to have equal opportunities for success, especially in agriculture and economic development.
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

🌱 Kuongeza Uelewa, Mbegu Moja Kwa Wakati! 🌾 Kwa kushirikiana na wadau wetu wa vyombo vya habari, AMDT inatoa mwanga juu ya nguvu ya mabadiliko ya kutumia mbegu bora za mazao kama Choroko, Mbaazi, na Kunde.

🌱 Kuongeza Uelewa, Mbegu Moja Kwa Wakati! 🌾

Kwa kushirikiana na wadau wetu wa vyombo vya habari, AMDT inatoa mwanga juu ya nguvu ya mabadiliko ya kutumia mbegu bora za mazao kama Choroko, Mbaazi, na Kunde.
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

The family is proud to have received AMDT’s seed interventions, which have led to a bountiful harvest! 🌻 As you can see from the size of this sunflower head, their second harvest this season is a true success story. 🌾🌱 #AMDTImpact #SunflowerFarming #AgricultureTransformation

The family is proud to have received AMDT’s seed interventions, which have led to a bountiful harvest! 🌻 As you can see from the size of this sunflower head, their second harvest this season is a true success story. 🌾🌱 #AMDTImpact #SunflowerFarming #AgricultureTransformation
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

Katika safari ya kilimo, ubora huanzia shambani hadi mavunoni. 🌾💪🏽 Kwa kila hatua, tumia mbinu bora ili kufikia mavuno yenye tija na manufaa kwa jamii. 👩🏽‍🌾👨🏽‍🌾 #KilimoBora #MavunoYenyeTija

Katika safari ya kilimo, ubora huanzia shambani hadi mavunoni. 🌾💪🏽 Kwa kila hatua, tumia mbinu bora ili kufikia mavuno yenye tija na manufaa kwa jamii. 👩🏽‍🌾👨🏽‍🌾 #KilimoBora #MavunoYenyeTija
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

💧 Kilimo cha umwagiliaji ni ufunguo wa mavuno bora na uhakika wa chakula! 🌱 Hukuza mimea hata wakati wa ukame, huongeza uzalishaji mara mbili kwa mwaka, na husaidia wakulima kuongeza kipato chao. 🌾💪 #KilimoChaUmwagiliaji #MavunoMengi #KilimoBora

💧 Kilimo cha umwagiliaji ni ufunguo wa mavuno bora na uhakika wa chakula! 🌱 Hukuza mimea hata wakati wa ukame, huongeza uzalishaji mara mbili kwa mwaka, na husaidia wakulima kuongeza kipato chao.  🌾💪 #KilimoChaUmwagiliaji #MavunoMengi #KilimoBora
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

Mbaazi ni zaidi ya chakula—ni mkombozi wa wakulima! Kwa uwezo wa kuboresha rutuba ya udongo kupitia bakteria maalum kwenye mizizi yake, hustahimili ukame na ni chanzo bora cha protini na nyuzinyuzi. bora.

Mbaazi ni zaidi ya chakula—ni mkombozi wa wakulima! Kwa uwezo wa kuboresha rutuba ya udongo kupitia bakteria maalum kwenye mizizi yake, hustahimili ukame na ni chanzo bora cha protini na nyuzinyuzi. bora.
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

Tunatoa shukrani kwa Mkurugenzi wa Kilimanjaro Nature Ripe, Fatma Riyami, kwa juhudi zake katika kuwawezesha wanawake na vijana kupitia mpango wa ushauri na uatamizi. Ushirikiano huu ni hatua muhimu kuelekea kilimo-biashara endelevu na yenye tija. 🌱💪 #AMDT

Tunatoa shukrani kwa Mkurugenzi wa Kilimanjaro Nature Ripe, Fatma Riyami, kwa juhudi zake katika kuwawezesha wanawake na vijana kupitia mpango wa ushauri na uatamizi. Ushirikiano huu ni hatua muhimu kuelekea kilimo-biashara endelevu na yenye tija. 🌱💪

 #AMDT
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

Mradi wa uboreshaji wa kilimo cha mbaazi unaendelea kwa kasi katika maeneo ya Gedamar na Gallapo, Babati DC, mkoani Manyara. Tumejikita kuhakikisha wakulima wanapata mbegu bora kama Ilonga 14 M 1 ambazo zimeonyesha matokeo mazuri katika uzalishaji na tija. #KilimoBora #Mbaazi

Mradi wa uboreshaji wa kilimo cha mbaazi unaendelea kwa kasi katika maeneo ya Gedamar na Gallapo, Babati DC, mkoani Manyara. Tumejikita kuhakikisha wakulima wanapata mbegu bora kama Ilonga 14 M 1 ambazo zimeonyesha matokeo mazuri katika uzalishaji na tija.

#KilimoBora #Mbaazi
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

🌾 Kuimarisha kilimo kupitia ushirikiano! Kwenye kikao cha mrejesho na maafisa ugani, tulifanya: ✔️ Mapitio ya maendeleo ya mafunzo kwa wakulima. ✔️ Kushirikishana mbinu za kuboresha mafunzo mashambani. ✔️ Mipango ya kuongeza uelewa kabla ya msimu wa kilimo wa 2024/25.

🌾 Kuimarisha kilimo kupitia ushirikiano!

Kwenye kikao cha mrejesho na maafisa ugani, tulifanya:
✔️ Mapitio ya maendeleo ya mafunzo kwa wakulima.
✔️ Kushirikishana mbinu za kuboresha mafunzo mashambani.
✔️ Mipango ya kuongeza uelewa kabla ya msimu wa kilimo wa 2024/25.
Agricultural Markets Development Trust (@amdttanzania) 's Twitter Profile Photo

🌾 COPRA yaandaa kikao cha kwanza cha mashauriano ya wadau kupitia kanuni mpya za Sheria ya Usalama wa Chakula. Wadau walijadili jinsi ya kuimarisha mnyororo wa thamani wa mazao kama nafaka, mbegu za mafuta, na mikunde. Ushirikiano huu unaleta ufanisi kwa wakulima wote! 💪