Nashukuru kwa nafasi ya kuchangia mada hii hapa jukwaani.
Suala la ajira na mitandao ni pana na mtambuka, nina hakika mawazo na ujuzi wangu havitoshi na wakati mwingine vyaweza kurekebishwa. Natarajia kujifunza pia kutokana na maswali na michango ya wengine.