Hii mada ya 🔥🔥🔥
Itatusaidia wengi kujua kuitumia mitandao kufikia malengo katika soko la ajira
Mtaalam Aman Martins | Champ utishe master #ElimikaWikiendi
Mtaalam wa Masoko na Ubunifu kutoka NMB ndani ya #ElimikaWikiendi
Moja ya watu bora kuwafuatilia Aman Martins | Champ kwenye makala zake hapa kuna kitu tutapata. USIKOSE mdau
Kila siku nahangaika na Cv kumbe mitandao unyama
Kaka Aman Martins | Champ usiniangushie nitakuwa nakufuatilia #ElimikaWikiendi
Champ Aman Martins | Champ leo alinipa lifti kidogo. Tukapata nafasi ya kubadilishana mawili matatu kuhusu maisha. Muhimu hapa ni kwamba tuwe wanyenyekevu na tuwe na heshima thabiti kwa kila mmoja wetu.
Video kwa hisani ya 𝐌𝐓𝐔 𝐁𝐈𝐆🤴
#ChampAnaongeaNaKitenge
Si Huwa Tukiapply Kazi Wanatuambia Tuambatanishe Na Handle Zetu Za Mitando Ya Kijamii Wait Unajua Ni Kwanini??
Haya Kesho Kwenye #ElimikaWikiendi Tutakuwa Na Aman Martins | Champ Atatujuza Namna Sahihi Ya Kutumia Mitandao Ili Katika Soko La Ajira.
Mitandao ya kijamii inatukutanisha na wengi je inatufikishaje kwenye soko la ajira Aman Martins | Champ jukwaani #ElimikaWikiendi atatisha
Mtaalam wa Masoko na Ubunifu Aman Martins | Champ kesho jukwaani #ElimikaWikiendi na mada nzuri ya kutumia mitandao ya kijamii kufikia malengo katika soko la ajira
Usikose
Muda huu ungana na Aman Martins | Champ #ElimikaWikiendi
Mada: Jinsi vijana wanavyoweza kutumia mitandao ya kijamii kufikia malengo katika soko la ajira
Wakati mwema sana leo kukutana na kushiriki ujenzi wa pamoja na my senior creative personnel Aman Martins | Champ akiwa kama Creative Manager NMB.
Product za CMG 🫡
#ilipotupo
#keshonisasa
Usikose kuungana na Aman Martins | Champ kesho kwenye #ElimikaWikiendi atatupa somo jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii ili kufikia malengo Katika soko la ajira.
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Hassan Ngoma amesema wao kama Wilaya hawatamuomba kitu chochote Rais Dkt Samia Suluhu leo kwa kuwa amewapa yote waliyomuomba.
Akizungumza na Aman Martins | Champ , Ngoma amesema #MamaAnafanikisha yote waliyohitaji hivyo wanasubiri 2025 wamchague tena.
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Hassan Ngoma amesema kama wao hawatamuomba kitu chochote Rais Samia Suluhu leo kwa kuwa amewapa yote waliyomuomba.
Akizungumza na Aman Martins | Champ, Ngoma amesema #MamaAnafanikisha waliyohitaji hivyo wanasubiri 2025 wamchague.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA_TANZANIA imeendelea kuhamasisha matumizi sahihi ya mtandao na kutumia fursa zake na Kesho moja kati ya vijana mahiri kabisa Bw. Aman Martins | Champ atatupitisha kwenye namna ambayo vijana wanavyoweza kutumia mitandao ya kijamii Ili kufikia soko la ajira.
Meneja anayehusika na Ubinifu na Mitandao ya Kijamii hapa #EFMnaTVE , Aman Martins | Champ anatueleza namna ambavyo #MastaBataHalipoi inaweza kukunufaisha.
.
Habari zaidi itazipata kwenye #TransformerEFM , sikiliza na uendelee kutumia NMB Mastercard.
.
#NMBMastaBata NMB Bank Plc
Jumamosi iliyopita kwenye #ElimikaWikiendi tuliwaandalia mada nzuri kutoka kwa Afisa masoko na mbunifu Aman Martins | Champ
Jinsi vijana wanavyoweza kutumia mitandao ya kijamii ili kufikia malengo katika soko la ajira
Pitia UZI ujifunze zaidi x.com/amanimkagulu/s…