
Aeshi Milindi
@aeshitoyot57021
Expert in Geopolitical and Economic strategies, political analysts
ID: 1778375858702471168
11-04-2024 10:56:21
458 Tweet
192 Takipçi
422 Takip Edilen





Nakutumia salamu za mshikamano Paul Kaheza, mwenyekiti wa Chama cha Walimu Wasio na Ajira (NON EMPLOYED TEACHERS ORG ). Wewe na vijana wenzio mnadai haki yenu ya kufanya kazi iliyolindwa na ibara ya 22 ya Katiba ya JMT. Mmekataa UCHAWA. Mnadai USAWA. Ninyi ni mashujaa!











