Adocax (@adocax360) 's Twitter Profile
Adocax

@adocax360

Relax

ID: 1533910695569399813

calendar_today06-06-2022 20:36:44

75 Tweet

124 Followers

914 Following

๐™ถ๐™ฐ๐™ฑ๐šˆ ๐™ป๐™พ๐š…๐™ด๐š‚ ๐šƒ๐™ด๐™ฒ๐™ท 6.0 (@gabyconscious) 's Twitter Profile Photo

Platforms gani zinalipa na PayPal. Kwanini usitumie PayPal?. PayPal ni ya kibaguzi? Payment Gateways gani ni mbadala wa PayPal? Uzi huu utakuelekeza kila kitu kuhusu PayPal ๐Ÿงต Retweet Kazi iendelee

The ChandO (@sadicktusia) 's Twitter Profile Photo

KUWA NA BUSARA EPUKA KUMUULIZA MTU MASWALI HAYA 1. Hujaolewa tu? 2. Kwanini Huna Watoto? 3. Utazaa lini, umri unaenda! 4. Unafanya kazi wapi? 5. Kwanini Umenenepa/Umekonda? Watu wanapitia mambo mengi magumu ambayo huna taarifa nayo wala hujawahi kuyasikia, jitahidi kuwa

Trica Online Store (@triciaabou) 's Twitter Profile Photo

Wanaume huwafuata Wanawake kwa mambo mawili, ambayo ni MAPENZI na SEX. Lakini inapofika hatua ya Kuoa, Wanaume hawaoi kwa sababu ya SEX au MAPENZI, wanaoa kwa sababu ya kutafuta AMANI NA UTULIVU WA NAFSI (STABILITY). . Mwanaume anaweza kukupenda na asikuoe Mwanaume anaweza kuwa

๐—Ÿ๐—ฎ๐˜„๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐˜€ | ๐—ง๐—ฟ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฒ๐—ฟ ๐Ÿ“ˆ (@lawcharsfx1) 's Twitter Profile Photo

Our Winners for FREE Mentorship are 1๏ธโƒฃ @Evancemg Tanzania, 29 Retweets 2๏ธโƒฃ Keysam Tanzania, 24 Retweets 3๏ธโƒฃ Quincy South Africa, 2 Retweets 4๏ธโƒฃ None Winners Kindly DM me for more details

Sunday Victor (@sundey_fx) 's Twitter Profile Photo

Kama wewe ni kijana umri kati ya miaka 20-29, 1. Unakitambi 2. Huna kiwanja 3. Huna ajira au biashara 4. Unaishi kwa wazazi au ndugu 5. Hauna akiba ya millio 3+ bank 6. Kipato chako ni chini ya laki 5 kwa mwezi Hutakiwi kua na mahusiano au kuoa, tengeneza maisha yako kwanza.

Johansen (@johansentz) 's Twitter Profile Photo

Hizi kozi zote ni PAID COURSES๐Ÿ’ฐ Nitakupatia free leo โœ…Affiliate Marketing โœ…Amazon FBA โœ…Copywriting โœ…Email marketing โœ…Google & FB Ads โœ…Cryptocurrency โœ…Dropshipping โœ… Audiobooks 1. Nifollow (Ili niweze kutuma DM) 2. Like & Repost 3. Komenti neno DM nikutumie zote Inbox

Hizi kozi zote ni PAID COURSES๐Ÿ’ฐ
Nitakupatia free leo

โœ…Affiliate Marketing 
โœ…Amazon FBA 
โœ…Copywriting
โœ…Email marketing
โœ…Google & FB Ads
โœ…Cryptocurrency
โœ…Dropshipping
โœ… Audiobooks

1. Nifollow (Ili niweze kutuma DM)
2. Like & Repost
3. Komenti neno DM nikutumie zote Inbox
The Man Himself (@officialhimsel1) 's Twitter Profile Photo

Kila MTU anatamani kukuza account yake ya X kama hivi na pia kuingiza hata $1 kupitia x account yake Usikose kitabu changu cha "The Symphony of X Growth" Kitatoka rasimi Tarehe 1 mwezi Wa pili Like ,retweet na unifollow maana nitakitoa bure Kwa baadhi ya follower

Kila MTU anatamani kukuza account yake 

ya X kama hivi na pia kuingiza hata $1 

kupitia x account yake 

Usikose kitabu changu cha 

"The Symphony of X Growth"

Kitatoka rasimi Tarehe 1 mwezi Wa pili

Like ,retweet na unifollow

 maana nitakitoa bure Kwa baadhi ya follower
๐™ถ๐™ฐ๐™ฑ๐šˆ ๐™ป๐™พ๐š…๐™ด๐š‚ ๐šƒ๐™ด๐™ฒ๐™ท 6.0 (@gabyconscious) 's Twitter Profile Photo

Umemaliza chuo una Bundle? JIFUNZE HIZI SKILLS BURE LEO UPATE NA CHETI UDEMY| PROMOCODE ZIKO VALID WITHIN 24HRS tu. 1. Adobe After Effect 2. Complete Graphics Design 3. Microsoft Office: 4. Web Development 5. UIUX with Figma and Adobe XD Repost #MadiniYaGaby

Umemaliza chuo una Bundle?

JIFUNZE HIZI SKILLS BURE LEO UPATE NA CHETI UDEMY| PROMOCODE ZIKO VALID WITHIN 24HRS tu.

1. Adobe After Effect
2. Complete Graphics Design
3. Microsoft Office:
4. Web Development
5. UIUX with Figma and Adobe XD

Repost #MadiniYaGaby