Abel Alfred Kinyondo, Ph.D. (@abelkinyondo) 's Twitter Profile
Abel Alfred Kinyondo, Ph.D.

@abelkinyondo

Natural Resources| Economic Governance| Tourism| Political Economics| Gender| Microfinance| Public Health| God| Family| Football, in no particular order!

ID: 2821166277

linkhttps://udsm.academia.edu/AKinyondo calendar_today10-10-2014 11:07:13

1,1K Tweet

1,1K Takipçi

344 Takip Edilen

HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

Introducing Our Next Session: Reflecting on Vision 2025 and Shaping Vision 2050: Extractives, Climate, and Inclusive Growth Join Prof. Abel Kinyondo from the University of Dar es Salaam as he opens the session with a compelling presentation reflecting on Vision 2025 and

Introducing Our Next Session:
Reflecting on Vision 2025 and Shaping Vision 2050: Extractives, Climate, and Inclusive Growth

Join Prof. Abel Kinyondo from the University of Dar es Salaam as he opens the session with a compelling presentation reflecting on Vision 2025 and
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

We’re live at the Jukwaa la Uziduaji 2025, diving deep into the ongoing session “Alternatives to Oil and Gas in Tanzania’s Energy Transition.” This timely discussion brings together experts, policymakers, and civil society to explore sustainable and inclusive energy options

We’re live at the Jukwaa la Uziduaji 2025, diving deep into the ongoing session “Alternatives to Oil and Gas in Tanzania’s Energy Transition.”

This timely discussion brings together experts, policymakers, and civil society to explore sustainable and inclusive energy options
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

“Tanzania tuna madini bora ya samafi (sapphire) kule Songea, lakini tunayachimba na kuuza bila thamani kubwa. Sri Lanka wakinunua samafi kutoka kwetu, wanayaongezea thamani na kuuza kwa bei ya juu zaidi. Katika biashara ya vito, kuna mitandao (cartel) inayodhibiti mnyororo wa

“Tanzania tuna madini bora ya samafi (sapphire) kule Songea, lakini tunayachimba na kuuza bila thamani kubwa. Sri Lanka wakinunua samafi kutoka kwetu, wanayaongezea thamani na kuuza kwa bei ya juu zaidi. Katika biashara ya vito, kuna mitandao (cartel) inayodhibiti mnyororo wa
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

“Tuko kwenye mchakato, tuko mbioni” ni maneno yaliyozoeleka masikioni. Hakuna ushiriki wala ushirikishwaji kwa wachimbaji wadogo waliopatiwa mashine za uchenjuaji wanaachwa bila mafunzo wala maandalizi.” Bonny Matto, Mchangiaji Jukwaa la Uziduaji 2025 Foundation for ASM Development (FADev)

“Tuko kwenye mchakato, tuko mbioni” ni maneno yaliyozoeleka masikioni. Hakuna ushiriki wala ushirikishwaji kwa wachimbaji wadogo waliopatiwa mashine za uchenjuaji wanaachwa bila mafunzo wala maandalizi.”

Bonny Matto, Mchangiaji Jukwaa la Uziduaji 2025

<a href="/fadevtz/">Foundation for ASM Development (FADev)</a>
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

Nadhani bado lengo la kuanzishwa kwa STAMICO halijafahamika vya kutosha. Tunafanya uwekezaji na tunatoa huduma, na katika maeneo haya yote tunakutana na washindani. Tunapaswa kushindana nao, kiufupi tunalo jukumu la kutekeleza majukumu mengi kwa wakati mmoja.” Fredrick

Nadhani bado lengo la kuanzishwa kwa STAMICO halijafahamika vya kutosha. Tunafanya uwekezaji na tunatoa huduma, na katika maeneo haya yote tunakutana na washindani. Tunapaswa kushindana nao, kiufupi tunalo jukumu la kutekeleza majukumu mengi kwa wakati mmoja.”

Fredrick
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Kumekuwa na migogoro kati ya wananchi na migodi kuhusu matumizi ya vyanzo vya maji, kwani wote wanategemea rasilimali hiyo kwa mahitaji yao ya kila siku." Epaphroditus Sabuni, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira #JukwaaLaUziduaji2025 HakiRasilimali

"Kumekuwa na migogoro kati ya wananchi na migodi kuhusu matumizi ya vyanzo vya maji, kwani wote wanategemea rasilimali hiyo kwa mahitaji yao ya kila siku."
Epaphroditus Sabuni, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira
#JukwaaLaUziduaji2025 
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Hakika migodi inahitaji maji mengi sana, hasa katika shughuli za uchenjuaji, kwani bila maji shughuli hizi haziwezi kufanyika." Gerald Mturi, Ripoti ya Uendelevu #JukwaaLaUziduaji2025 HakiRasilimali

"Hakika migodi inahitaji maji mengi sana, hasa katika shughuli za uchenjuaji, kwani bila maji shughuli hizi haziwezi kufanyika."
Gerald Mturi, Ripoti ya Uendelevu
#JukwaaLaUziduaji2025 
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

Tuna sheria, sera, na miongozo mizuri sana. Lakini leo nipo hapa kuwasilisha sauti za wanajamii. Kanda ya Ziwa sasa inaongezeka kwa kuwa na wagonjwa wa kansa kutokana na uchafuzi wa maji unaosababishwa na shughuli za uchimbaji mdogo wa madini. Ingawa jitihada nyingi zimeelekezwa

Tuna sheria, sera, na miongozo mizuri sana. Lakini leo nipo hapa kuwasilisha sauti za wanajamii. Kanda ya Ziwa sasa inaongezeka kwa kuwa na wagonjwa wa kansa kutokana na uchafuzi wa maji unaosababishwa na shughuli za uchimbaji mdogo wa madini. Ingawa jitihada nyingi zimeelekezwa
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

Kwenye Jukwaa hili, kumezungumziwa sana jinsi ya kuhakikisha sekta ya madini inafungamanishwa na sekta ya nyingine kwa lengo la kuongeza tija ya sekta kwa watanzania na kuchochea uchumi jumuishi kupitia kuongezeka kwa shughuli mbalimbali za kiuzalishaji katika uchumi. Nipende

Kwenye Jukwaa hili, kumezungumziwa sana jinsi ya kuhakikisha sekta ya madini inafungamanishwa na sekta ya nyingine kwa lengo la kuongeza tija ya sekta kwa watanzania na kuchochea uchumi jumuishi kupitia kuongezeka kwa shughuli mbalimbali za kiuzalishaji katika uchumi. Nipende
Abel Alfred Kinyondo, Ph.D. (@abelkinyondo) 's Twitter Profile Photo

Kwa hali halisi iliyopo mpaka sasa, kuna uwezekano mkubwa sana kuwa mimi tu ndio sitachukua fomu kugombea ubunge. Huko Dodoma kuna nini kinachovutia watu kutaka kwenda?

Abel Alfred Kinyondo, Ph.D. (@abelkinyondo) 's Twitter Profile Photo

Someone in Kenya is about to realize that killing and abducting people may work in the short-run. But institutionalizing the said criminal acts only serves to radicalise the masses. Nobody is afraid of the inevitable. Take out hope and humans become animals. Watch and learn!

Abel Alfred Kinyondo, Ph.D. (@abelkinyondo) 's Twitter Profile Photo

was priviledged to give a Keynote Speech in the 8th SADC Industrial Week in Madagascar. I unpacked how 'SADC' can harness the Mining-Energy-Industrialization nexus with a view to unlock Critical Minerals Value Chains for Southern Africa`s Green and Inclusive Energy Transition.

was priviledged to give a Keynote Speech in the 8th SADC Industrial Week in Madagascar. I unpacked how 'SADC' can harness the Mining-Energy-Industrialization nexus with a view to unlock Critical Minerals Value Chains for Southern Africa`s Green and Inclusive Energy Transition.