๐Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Kuzindua zoezi la Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa Katika kitongoji cha Sokoine Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, kesho tarehe 11 Oktoba, 2024.
Kila kikwazo na Kizingiti mbele yetu tutavuka, tutavuka kwakua tunaimani, tutavuka kwakua Nia tunayo na kazi inafanyika, kwa mawe na Mishale tutavuka, Tandika Busati mama Wanao tupite Tandika Busati Mama Miradi tumekamilisha kwa Ukubwa, Tandika Busati Mama kila kikwazo mbele