Arach✞nid, Jinx's Boyfriend💀 (@_arach1nid) 's Twitter Profile
Arach✞nid, Jinx's Boyfriend💀

@_arach1nid

Who's Morales🎭
爪卂匚卄卂ㄥ卂🏌🏽‍♂️
Music Stan🎧

ID: 1587087217415135235

calendar_today31-10-2022 14:21:13

57,57K Tweet

3,3K Takipçi

2,2K Takip Edilen

Wakupaa°° (@savasec) 's Twitter Profile Photo

Hotuba ya Rais Samia inatufundisha: Wajibu wetu vijana ni kujenga Taifa na si kulibomoa taifa letu. #KazinaUtuTunasongambele

Wakupaa°° (@savasec) 's Twitter Profile Photo

Amani na umoja tuliopewa na wazazi wetu ni hazina. Vijana, tusibomoe taifa letu; tuendeleze miiko ya walio lipambania taifa letu mpaka kufikia leo.✅ #KazinaUtuTunasongambele

Wakupaa°° (@savasec) 's Twitter Profile Photo

Hii ndiyo faida ya kuwa na kiongozi ambaye ni Mama mwepesi wa kusamehe na kuanza upya. Asante mama kwa kulitambua hili ❤️🙏✅

Wakupaa°° (@savasec) 's Twitter Profile Photo

Chini ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia safari ya vijana kuaminiwa na kuwezeshwa imeanza rasmi. #KazinaUtuTunasongambele

Wakupaa°° (@savasec) 's Twitter Profile Photo

Ni wazi TEC hawajaona namna wale waliodaiwa kuwa waandamanaji walivyoharibu mali, kuumiza watu na kusambaratisha miundombinu. Kilichotokea Oktoba 29 hakikuwa maandamano kilikuwa ni vitendo vya uhasi vinavyopaswa kukemewa bila kusita.

Ni wazi TEC hawajaona namna wale waliodaiwa kuwa waandamanaji walivyoharibu mali, kuumiza watu na kusambaratisha miundombinu. Kilichotokea Oktoba 29 hakikuwa maandamano kilikuwa ni vitendo vya uhasi vinavyopaswa kukemewa bila kusita.
Wakupaa°° (@savasec) 's Twitter Profile Photo

Haya ya kwanza ndiyo maandamano ya amani utulivu nidhamu na kuheshimu sheria. Lakini haya ya pili si maandamano ni uhalifu kuchoma kuvunja kuiba na kuhatarisha maisha. Kanisa Katoliki lisitetee vurugu kwa kisingizio cha maandamano kemeeni bila upendeleo na bila kuchagua upande.