Timothy media hd
@TMediahd
This time to sports
-caf champions league
- caf confederation
- nbc premier league
- world football
ID:1502028188800761861
10-03-2022 21:07:52
13 Tweets
1 Followers
29 Following
Wawakilishi wa nchi wapo mzigoni siku ya kesho Young Africans yupo Rwanda kukipiga na @almerreikhsc kwenye dimba la pele kwa upande wa Simba Sports Club yeye yupo levy mwanawasa stadium nchini Zambia kukipiga na mwenyeji wao power dynamo. Hii itakuwa weekend Safi yenye soka Safi.
Kiungo fundi, BRUNO GOMES raia wa Brazil ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kukipiga Singida Fountain gate. Bruno yupo Singida Fountain Gate hadi mwaka 2025
Singida Fountain Gate FC
Dah! Game hii itakuwa na bato Kali Sana warabu wawili ndni ya dimba la Mohammed V. Wydad wapo vizuri wakiwa nyumbani Al ahly game ya home wameshinda (2-1) bato ni kubwa Sana kwa timu zote mbili.
TotalEnergiesCAFCL & TotalEnergiesCAFCC 🏆 433 @canalplussportafr Dan Rowden.scrunkly @van_for_sports_ @caf.championsleague
Fainali ya mwisho Algeria yanga hata Toboa au itakuwaje? Tusubiri dk90 kwenye dimba la 5 julliet
@yangasc1935 TotalEnergiesCAFCL & TotalEnergiesCAFCC 🏆 Eng. Hersi Said Ali Kamwe nemdil
Fainali ya kihistoria kwa Tanzania na Young Africans. Fainali hiliyo beba hisia za mashabiki wa yanga wakiamini kua msimu huu kombe Lina letwa Tanzania kwa Mara ya Kwanza. #whynotus ?
Young Africans1935 TotalEnergiesCAFCL & TotalEnergiesCAFCC 🏆 alex
Good match, good players on one stadium.
TotalEnergiesCAFCL & TotalEnergiesCAFCC 🏆
@yangasc1935
MARUMO GALLANTS FC Eng. Hersi Said Ali Kamwe @tmediah