TAMWA Zanzibar
@TAMWA_Zanzibar
TAMWA Zanzibar is a non-partisan not for profit sharing, non-Governmental professional membership organization. #MwanamkeNiKiongozi #ZuiaUkatiliZanzibar
ID:855043886313594887
http://www.tamwaznz.or.tz 20-04-2017 13:02:03
3,0K Tweets
2,3K Followers
2,0K Following
Follow People
'Vyombo vya habari vinatakiwa kufikisha elimu kwa wazazi na jamii kupitia vipindi na makala ili kuwapa elimu kuacha tabia ya kuwatenga wavulana na wasichana katika michezo,' Hawra Shamte mtaalam masuala ya kijinsia.
Ipi njia sahihi watoto wa kike kushiriki #MichezoKwaMaendeleo ?
“Bado hakuna idadi sawia ya wanawake wanaopata mamlaka katika tasnia ya michezo, ukatili na ujira mdogo kwa wanawake wanamichezo ni miongoni mwa sababu zinazoshusha hamasa kwa wasichana wengi kujihusisha na michezo.” Hawra Shamte, mtaalam masuala ya kijinsia #MichezoKwaMaendeleo
'Kama kuna sheria ambazo zinakwaza uhuru wa habari ni vyema kuishauri serikali kuzifanyia marekebisho ili zisiwakwaze kutekeleza majukumu yenu. Kwasababu Katiba imeeleza kila mmoja anao uhuru wa kujieleza ilimradi havunji sheria,' Mattar Zahoro, RC Kusini Pemba. #UhuruWaHabari
'Kuna umuhimu wa kuwepo uhuru wa taasisi za kijamii ili kuharakisha maendeleo ya kidemokrasia na kiuchumi. Hata hivyo kwa Zanzibar tunaweza kufanya vizuri zaidi tukipata sheria madhubuti na taasisi imara za kusimamia,' Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ.
'kutokuwepo Kwa uhakika wa usalama katika michezo ni jambo linalofanya wasichana kusitasita kushiriki #MichezoKwaMaendeleo tathmini ya Hali ya JINSIA Unguja na Pemba Julia 2023' Hawra Shamte mtaalam wa masuala ya JINSIA
𝐆𝐌𝐝𝐚𝐝𝐢𝐬𝐢 TAMWA Zanzibar Khairat Haji
'Vyombo vya habari vinatakiwa kufikisha elimu kwa wazazi na jamii kupitia vipindi na makala ili kuwapa elimu kuacha tabia ya kuwatenga wavulana na wasichana katika michezo,' Hawra Shamte mtaalam masuala ya kijinsia.
Ipi njia sahihi watoto wa kike kushiriki #MichezoKwaMaendeleo ?
“Bado hakuna idadi sawia ya wanawake wanaopata mamlaka katika tasnia ya michezo, ukatili na ujira mdogo kwa wanawake wanamichezo ni miongoni mwa sababu zinazoshusha hamasa kwa wasichana wengi kujihusisha na michezo.” Hawra Shamte, mtaalam masuala ya kijinsia #MichezoKwaMaendeleo
'Malipo madogo ya wachezaji wa mpira wa miguu Kwa Wanawake inashusha hamasa Kwa WATOTO wa kike kushiriki katika michezo' Bi Hawra Shamte ameyasema hayo katika mafunzo Kwa waandishi wa habari Pemba #michezo TAMWA Zanzibar Binti NGALAPI zaina Abdalla mzee 𝐆𝐌𝐝𝐚𝐝𝐢𝐬𝐢
'Kama kuna sheria ambazo zinakwaza uhuru wa habari ni vyema kuishauri serikali kuzifanyia marekebisho ili zisiwakwaze kutekeleza majukumu yenu. Kwasababu Katiba imeeleza kila mmoja anao uhuru wa kujieleza ilimradi havunji sheria,' Mattar Zahoro, RC Kusini Pemba. #UhuruWaHabari
Miongo miwil imeshapita toka kuanza kufanya advocacy juu ya masuala ya uhuru wa habari je tutumie namna gn ya kuseme ili tusikike??? #UhuruWaHabariZanzibar , TAMWA Zanzibar Odo 𝐆𝐌𝐝𝐚𝐝𝐢𝐬𝐢 Amrat Kombo Essau Kalukubila
'Kama Kuna Sheria inayokwaza Uhuru wa vyombo vya Habari ni vyema kuzisemea Ili ziweze kubadilishwa' Matar Zahor Massoud Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba katika Maadhimisha siku ya Uhuru wa vyombo Habari Duniani #uhuruwaHabari TAMWA Zanzibar zaina Abdalla mzee #MCT
'Kuna umuhimu wa kuwepo uhuru wa taasisi za kijamii ili kuharakisha maendeleo ya kidemokrasia na kiuchumi. Hata hivyo kwa Zanzibar tunaweza kufanya vizuri zaidi tukipata sheria madhubuti na taasisi imara za kusimamia,' Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ.
I opened the #Asian_Womens_Forum_2024 in #Uzbekistan .
My message: there is no path to peaceful, sustainable, and prosperous societies that does not prioritise women rights and leadership.
Inspired to see this forum bring innovative solutions to a global challenge. Thank you 🇺🇿
Leo ni Siku ya Mama Duniani.
Ni neno gani la upendo ungetamani ulifikishe kwa akinamama uwapendao?
#HappyMothersDay
“Waandishi wa habari tuwe wabunifu kwa kuwafuata wadau mbalimbali watoe maoni yao kuhusu #UhuruWaHabari , hii itasaidia kukuza uelewa wa jamii kutambua umuhimu wa kuwepo kwa uhuru huo,” Shifaa Said, mwandishi wa habari mwandamizi.
Umeshawahi kuhojiwa kuhusu uhuru wa kujieleza?