💬 Na sasa ni muda wa Simba kujitafakari. Wanatoka wapi na wanakwenda wapi? Yanga aliingia fainali za Shirikisho msimu uliopita na msimu huu ilibakia kidogo waende nusu fainali za Ligi ya mabingwa. Wana timu bora ambayo ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi ya ndani msimu…