SMajessah (@smajessah) 's Twitter Profile
SMajessah

@smajessah

A Senior Clinician, formerly with the UN humanitarian projects in Western Tanzania, Voice of the Voiceless; pro CHADEMA, Simba SC and Arsenal.

ID: 512695837

calendar_today03-03-2012 02:32:01

8,8K Tweet

4,4K Takipรงi

1,1K Takip Edilen

Mamwavi_Nkabasia (@joeselasini) 's Twitter Profile Photo

Msiwadanganye vijana waliozaliwa baada ya Muungano na vijana wenye akili msikubali kudanganyika. ZANZIBAR ni nchi kamili ilyopata uhuru 1963 iliyoungana na TANGANYIKA ambayo pia ilikuwa nchi kamili iliyopata uhuru 1961. Soma makubaliano ya Muungano. Yasipotekelezwa rais makini

Msiwadanganye vijana waliozaliwa baada ya Muungano na vijana wenye akili msikubali kudanganyika.
ZANZIBAR ni nchi kamili ilyopata uhuru 1963 iliyoungana na TANGANYIKA ambayo pia ilikuwa nchi kamili iliyopata uhuru 1961. Soma makubaliano ya Muungano.
Yasipotekelezwa rais makini
Baba Mwita (@babamwita) 's Twitter Profile Photo

Huu ndio UTARATIBU wa kisheria uliotumika na Bunge KURIDHIA mkataba wa TPA & DP WORLD. Nomba utafute neno "MAKUBALIANO" hapa! Halafu hesabu neno "mkataba" limetumika mara ngapi! Spika Tulia, baadhi ya wabunge, baadhi ya viongozi aache UPOTOSHAJI.

Huu ndio UTARATIBU wa kisheria uliotumika na Bunge KURIDHIA mkataba wa TPA & DP WORLD. Nomba utafute neno "MAKUBALIANO" hapa! Halafu hesabu neno "mkataba" limetumika mara ngapi! Spika Tulia, baadhi ya wabunge, baadhi ya viongozi aache UPOTOSHAJI.
@solloo (@soloo2023_) 's Twitter Profile Photo

Kitila Mkumbo (PhD) Ananilea Nkya (PhD) Kama management iko chini yao, logistics za mizigo chini yao means literally mandate wanayo wao u asemaje 8% , msijitoe akili kisa siasa, hivi mkiwa Chama Cha Mapinduzi akili mnaziacha wapi?! Juzi ulisema sio mkataba baadae ukasema mkataba wa awali! Kitila Mkumbo (PhD) nipe sababu ya kukuamini

HASHEEM SWAI (@hashmariner) 's Twitter Profile Photo

Kitila Mkumbo (PhD) Ananilea Nkya (PhD) We ni fala professor njaa kwahiyo aliyoyasema SHIVJI yote ya uwongo?kwanza mtasaini vp IGA na DUBAI ?Dubai sio Nchi,Nchi ni UAE we ni Professor mnuka njaa nipo Abu Hail ukuuku Dubai nifuate chizi wewe

Kidanya (@kidanyandelike) 's Twitter Profile Photo

Kitila Mkumbo (PhD) Ananilea Nkya (PhD) Kitila Mkumbo (PhD) mnatumia nguvu nyingi sana kutuaminisha wizi wenu, hamjipangi... Rais anapiga vijembe, Waziri Mkuu anajua upupuqnaozungumza, Waziri wa ujenzi nae anaupupu wake mwisho wa siku HAMUELEWEKI. Kitila Mkumbo (PhD) elewa Maji na Mafuta HAVICHANGANYIKI.

Camel (@2020election_tz) 's Twitter Profile Photo

Kitila Mkumbo (PhD) Ananilea Nkya (PhD) Kweli umepiga hesabu lakini za kwako kichwani ule mkataba hauna hesabu mle zote mmezikimbia.Muda wa ukomo,mapato yatokanayo na faida,mgawanyo,watu watakaopata ajira, inteligensia ya marine business nk. Jibuni maswali acheni maneno ya waganga khaaa

My64impala๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ (@comanchechiefiv) 's Twitter Profile Photo

Sijasikia ikulu_Tanzania ikitangaza safari ya rais Dubai au Saudi Arabia. Lakini flight tracking data zinaonyesha ndege ya rais iliondoka jana ikitumia call sign TANZ01 ambayo ni rais on board. Ndege ilitoka Dubai leo na iko Saudi Arabia. Nyie Gerson Msigwa zuhura yunus ๐Ÿคท๐Ÿพโ€โ™€๏ธ๐Ÿ™‡

Sijasikia <a href="/ikulumawasliano/">ikulu_Tanzania</a> ikitangaza safari ya rais Dubai au Saudi Arabia. Lakini flight tracking data zinaonyesha ndege ya rais iliondoka jana ikitumia call sign TANZ01 ambayo ni rais on board. Ndege ilitoka Dubai leo na iko Saudi Arabia. Nyie <a href="/MsigwaGerson/">Gerson Msigwa</a> <a href="/venusnyota/">zuhura yunus</a> ๐Ÿคท๐Ÿพโ€โ™€๏ธ๐Ÿ™‡
Ng'wanangwa (@mugaka_n) 's Twitter Profile Photo

Hii yote ni kwa sababu ya ule mkataba unaolalamikiwa kuwa na vifungu kandamizi kwa Wananzengo? Uteteeni kwa hoja. Utetezi wa kuwaita walevi, maamuma na mbumbumbu hauna mashiko! Aliyewaambia daima mlevi hana hoja zenye mashiko nani?

Hii yote ni kwa sababu ya ule mkataba unaolalamikiwa kuwa na vifungu kandamizi kwa Wananzengo? Uteteeni kwa hoja. Utetezi wa kuwaita walevi, maamuma na mbumbumbu hauna mashiko!
Aliyewaambia daima mlevi hana hoja zenye mashiko nani?
Tanzania Leaks (@tanzanialeaks) 's Twitter Profile Photo

Nachelea kusema kwamba chama changu CCM, ifike sehemu tuseme basi. Tunadhalilika sana kwenye Jamii. Spana za Lissu, Dr. Nshala Rugemeleza, Wakili Mwabukusi nk hatuna pa kufichia sura zetu na majibu hatuna. Mnawatuma Wahuni kama Msando, Steve Nyerere na Jerry Silaa kujibu upupu!

Nachelea kusema kwamba chama changu CCM, ifike sehemu tuseme basi. Tunadhalilika sana kwenye Jamii.  Spana za Lissu, Dr. Nshala Rugemeleza, Wakili Mwabukusi nk hatuna pa kufichia sura zetu na majibu hatuna. Mnawatuma Wahuni kama Msando, Steve Nyerere na Jerry Silaa kujibu upupu!
Pio Mponzi (@pius_mponzi) 's Twitter Profile Photo

Jamii Forums Wabunge wafikirie kuongeza umri wa kustaafu kuwa miaka 65. Profesa kwenye chuo kikuu cha umma TZ umri wa kustaafu ni miaka 65. Hivyo, watumishi wabobezi kustaafu miaka 60 kuna athari kubwa na ni upotevu wa HR. Aidha, kuna fani sasa vijana hawataki kusoma kutokana na ugumu wake.

<a href="/JamiiForums/">Jamii Forums</a> Wabunge wafikirie kuongeza umri wa kustaafu kuwa miaka 65.  Profesa kwenye chuo kikuu cha umma TZ umri wa kustaafu ni miaka 65. Hivyo, watumishi wabobezi kustaafu miaka 60 kuna athari kubwa na ni upotevu wa HR. Aidha, kuna fani sasa vijana hawataki kusoma kutokana na ugumu wake.
(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Rais Samia Suluhu , kuna MHAINI mmoja tu Tanzania tunayetakiwa kudeal naye. Huyu mhaini kila mwaka anatumia zaidi Bilioni 500 kununulia viongozi V8 wakati huo huo anakosa hela ya kutengeneza hata choo cha shimo kwenye shule za watanzania maskini. Huyu mhaini anawalipa

Mhe. Rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> , kuna MHAINI mmoja tu Tanzania tunayetakiwa kudeal naye. 

Huyu mhaini kila mwaka anatumia zaidi Bilioni 500 kununulia viongozi V8 wakati huo huo anakosa hela ya kutengeneza hata choo cha shimo kwenye shule za watanzania maskini. 

Huyu mhaini anawalipa
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

. Nape Moses Nnauye ukiitwa mahakamani utathibitisha uhaini? Ulipomuita Magufuli mshamba ukizungumza kwenye simu na Kinana, mkasema ni mshamba amechanganyikiwa. JPM akakupelekea moto tulikutetea, ungeweza kupewa uhaini, leo unatetea Slaa, Mdude na Mwabukusi kupewa mashtaka ya uhaini?

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Wakati wa Shida alisimama na sisi..! Sasa ni zamu yetu sisi kusimama na yeye...! Tumuombe hata namba ya Tigopesa au Mpesa tumchangie Pesa ya mawakili na mafuta....?

Wakati wa Shida alisimama na sisi..!
Sasa ni zamu yetu sisi kusimama na yeye...!

Tumuombe hata namba ya Tigopesa au Mpesa tumchangie Pesa ya mawakili na mafuta....?