Sheria Kiganjani
@SheriaKiganjani
OFFICIAL SHERIA KIGANJANI PAGE
ID:1066798915364839424
http://www.sheriakiganjani.or.tz 25-11-2018 21:00:56
937 Tweets
657 Followers
13 Following
IJUE KATIBA ya Ijumaa ya leo ni kutoka Ibara ya 30(3) ya Katiba ya Tanzania inayompa mtu haki ya kwenda Mahakamani kudai haki.
#skijuekatiba #katiba #tanzania #sheria kiganjani #sheria kiganjani app #legalgurus #legaltech #justlers #katiba #haki #sheria #nchi #mahakama
ULIZA WAKILI DAY! Tunakaribisha maswali kuhusu SHERIA YA MTOTO kupitia komenti au kutuma ujumbe binafsi bila malipo yoyote. #sheriakiganjani app #sheriakiganjani #skulizawakili #freeday #legaltech #legalgurus #kaributukuhudumie #freeday #maswalinamajibu #sheriayamtoto #childact
Tunafurahi kuongeza familia yetu kwenye mitandao wa kijamii kwa kufikia wafuasi 20,000 kwenye mtandao wa Instagram. Ahsanteni kwa kuendelea kutumia huduma zetu na kutufatilia kwenye mitandao yote ya kijamii.
#sheriakiganjani app #sheriakiganjani #skcommunity #instagram
FAHAMU SHERIA ya leo ni kutoka Kifungu cha 79 (1) kutoka SHERIA YA MTOTO kinachokataza mtoto kuhusishwa na mkataba ya kufanya kazi usiku.
#sheriakiganjani app #sheriakiganjani #legaltech #legalgurus #skfahamusheria #sheriayamtoto #mkataba #kazi
We are happy to announce a job opportunity.
Position: Project Officer.
If you believe to be a right fit, you are encouraged to apply before the deadline.
#sheriakiganjani #legalgurus #legaltech #justlers #jobopportunity #projectofficer #afisaprogramu #applynow
We are happy to announce a job opportunity.
Position: Finance Manager.
If you believe to be a right fit, you are encouraged to apply before the deadline.
#sheriakiganjani #legalgurus #legaltech #justlers #jobopportunity #financemanager #menejawafedha
#applynow
Ni faraja kwetu kupokea jumbe chanya kuhusu huduma zetu. Nia yetu ni kuwafikia na kuwasaidia watanzania wengi zaidi kwa njia ya mtandao.
#sheriakiganjani app #sheriakiganjani #sktestimonies #legalgurus #legalgurus #kaributukuhudumie #hudumabora
ULIZA WAKILI DAY! Tunakaribisha maswali kuhusu SHERIA YA NDOA kupitia komenti au kutuma ujumbe binafsi bila malipo yoyote. #sheriakiganjani app #sheriakiganjani #skulizawakili #freeday #legaltech #legalgurus #kaributukuhudumie #freeday #maswalinamajibu #sheriayandoa #ndoa
Ni faraja kwetu kupokea jumbe chanya kuhusu huduma zetu. Nia yetu ni kuwafikia na kuwasaidia watanzania wengi zaidi kwa njia ya mtandao.
#sheriakiganjani app #sheriakiganjani #sktestimonies #legalgurus #legalgurus #kaributukuhudumie #hudumabora
IJUE KATIBA ya Ijumaa ya leo ni kutoka Ibara ya 24 (1) ya Katiba ya Tanzania inayoruhusu watu kumiliki mali kisheria.
#skijuekatiba #katiba #tanzania #sheria kiganjani #sheria kiganjani app #legalgurus #legaltech #justlers #katiba #haki #sheria #nchi #uhuru #kumilikimali
ULIZA WAKILI DAY! Tunakaribisha maswali kuhusu SHERIA YA ARDHI kupitia komenti au kutuma ujumbe binafsi bila malipo yoyote. #sheriakiganjani app #sheriakiganjani #skulizawakili #freeday #legaltech #legalgurus #kaributukuhudumie #freeday #maswalinamajibu #sheriayaardhi #ardhi
Tuchukue wasaa kidogo kuheshimu kazi ngumu na ujitoaji wa wafanyakazi kote ulimwenguni. Tunawatakia wafanyakazi wote kheri ya sikukuu ya Mei Mosi!
#sheriakiganjani app #sheriakiganjani #legaltech #legalgurus #kaributukuhudumie #laborday #MeiMosi #workers #wafanyakazi
Digital Biashara inawakaribisha wafanyabiashara wote wenye uhitaji wa kurasimisha biashara zao.
Tuma neno BIASHARA kwenda namba 15062, kupata msaada wa papo hapo katika kurasimisha biashara yako.
#digitalbiashara #businessformalization #urasimishajiwabiashara #sheriakiganjani