ULIZA WAKILI DAY! Tunakaribisha maswali kuhusu SHERIA YA USIMAMIZI WA MAZINGIRA kupitia komenti au kutuma ujumbe binafsi bila malipo yoyote. #sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #skulizawakili #legaltech #legalgurus #freeday #maswalinamajibu #sheriayamazingira #mazingira
This visit aimed at exploring the gender stereotypes in Tanzania and learn how Sheria Kiganjani leverages technology in the legal sector to advance gender equality through our programs.
#sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #donbosco #partners #partnership #youthprograms
IJUE KATIBA ya Ijumaa ya leo ni kutoka Kifungu cha 99 Sheria ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania inayotaja makosa ya ushawishi yasiofaa kwenye uchaguzi wa nchi.
#skijuekatiba #katiba #tanzania #sheriakiganjani #sheriakiganjaniapp #legaltech #justlers #katiba #uchaguzi #elections
ULIZA WAKILI DAY! Tunakaribisha maswali kuhusu SHERIA YA ARDHI kupitia komenti au kutuma ujumbe binafsi bila malipo yoyote. #sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #skulizawakili #legaltech #legalgurus #kaributukuhudumie #freeday #maswalinamajibu #sheriayaardhi #ardhi
FAHAMU SHERIA ya leo ni kutoka Kifungu cha 64 cha kutoka Sheria ya Ardhi kinachosisitiza mkataba wa ardhi kuwa wa maandishi na usajiliwe.
#sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #legaltech #legalgurus #skfahamusheria #sheriayaardhi #ardhi #landact #mkataba #usajiliwe
IJUE KATIBA ya Ijumaa ya leo ni kutoka Kifungu cha 8 (1)(a) Katiba ya Tanzania inayoelezea mamlaka ya Wananchi kwenye mamlaka ya utawala.
#skijuekatiba #katiba #tanzania #sheriakiganjani #sheriakiganjaniapp #legalgurus #legaltech #justlers #katiba #haki #sheria #nchi
ULIZA WAKILI DAY! Tunakaribisha maswali kuhusu SHERIA YA USIMAMIZI WA MAZINGIRA kupitia komenti au kutuma ujumbe binafsi bila malipo yoyote. #sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #skulizawakili #legaltech #legalgurus #kaributukuhudumie #freeday #maswalinamajibu #mazingira
ULIZA WAKILI DAY! Tunakaribisha maswali kuhusu SHERIA YA ARDHI kupitia komenti au kutuma ujumbe binafsi bila malipo yoyote. #sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #skulizawakili #legaltech #legalgurus #kaributukuhudumie #freeday #maswalinamajibu #sheriayaardhi #ardhi
FAHAMU SHERIA ya leo ni kutoka Kifungu cha 6(1) kutoka Sheria ya Ardhi kinachosema āKila mmiliki wa ardhi anapaswa kuitumia ardhi hiyo kwa mujibu wa masharti ya hati milikiā.
#sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #legaltech #legalgurus #skfahamusheria #sheriayaardhi #ardhi
IJUE KATIBA ya Ijumaa ya leo ni kutoka Ibara ya 5(1) ya Katiba ya Tanzania inayomruhusu Mtanzania alietimiza miaka 18 kupiga kura kwa kufuata masharti ya Katiba na ya Sheria.
#skijuekatiba #katiba #tanzania #sheriakiganjani #sheriakiganjaniapp #legalgurus #haki #sheria #nchi
Ni faraja kwetu kupokea jumbe chanya kuhusu huduma zetu. Nia yetu ni kuwafikia na kuwasaidia watanzania wengi zaidi kwa njia ya mtandao.
#sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #sktestimonies #legalgurus #legalgurus #kaributukuhudumie #hudumabora
ULIZA WAKILI DAY! Tunakaribisha maswali kuhusu SHERIA YA MIKATABA kupitia komenti au kutuma ujumbe binafsi bila malipo yoyote. #sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #skulizawakili #legaltech #legalgurus #kaributukuhudumie #freeday #maswalinamajibu #ukatiliwakijinsia
Hatua za kupakua app yako pendwa ya Sheria Kiganjani kwa watumiaji wa iPhone kupitia App Store. Pakua Sheria Kiganjani ili uweze kupata ushauri wa kisheria, nyaraka za kisheria, maswali na majibu na kurasimisha biashara. Karibuni, tuwahudumie!
#sheriakiganjani #sheriakiganjaniapp
FAHAMU SHERIA ya leo ni kutoka Kifungu cha 10, Sura ya 345 kutoka Sheria ya Mikataba kinachoelezea pande mbili za wahusika wa mkataba.
#sheriakiganjaniapp #sheriakiganjani #legaltech #legalgurus #skfahamusheria #dhamana #mikataba
IJUE KATIBA ya Ijumaa ya leo ni kutoka Ibara ya 14 ya Katiba ya Tanzania inayosema āKila mtu anayo haki ya kuishi na kupata kutoka kwa jamii yakeā.
#skijuekatiba #katiba #tanzania #sheriakiganjani #sheriakiganjaniapp #legalgurus #legaltech #justlers #katiba #haki #sheria #nchi