Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi katika kuhakikisha anapata ushindi kwenye mchezo wao dhidi ya Al Merrikh Jumamosi hii ameonekana kuwaongezea dozi ya mazoezi wachezaji wake ambapo leo alionekana akiwakimbiza wachezaji wake kwa kasi mazoezini, wakizunguka uwanja. . Aidha, Gamondi…