Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile
Planning Commission_Tanzania

@planning_tz

Ukurasa Rasmi wa Tume ya Mipango

ID: 1751524475386888192

calendar_today28-01-2024 08:36:07

53 Tweet

136 Followers

31 Following

ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo kuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- (Mipango na Uwekezaji) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Juni, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo kuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- (Mipango na Uwekezaji) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Juni, 2024.
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Dkt. Linda Margaret Kokulamula Ezekiel kuwa Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Juni, 2024.

Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Menejimenti ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji na Taasisi zake pamoja na Timu kuu ya uandishi wa Dira ya Taifa zimekutana na Waziri Kitila Mkumbo (PhD) kwa mapitio na kupokea maoni ya kuboresha rasimu ya kwanza ya Dira ya Taifa 2050. Leo Septemba 19, 2024 katika Ofisi za Waziri Mkuu, Magogoni Jijini Dar es Salaam.

Menejimenti ya <a href="/OR_MU1/">Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji</a> na Taasisi zake pamoja na Timu kuu ya uandishi wa Dira ya Taifa zimekutana na Waziri <a href="/kitilam/">Kitila Mkumbo (PhD)</a> kwa mapitio na kupokea maoni ya kuboresha rasimu ya kwanza ya Dira ya Taifa 2050. Leo Septemba 19, 2024 katika Ofisi za Waziri Mkuu, Magogoni Jijini Dar es Salaam.
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Spika wa Baraza La Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid amekutana na Timu kuu ya Uandishi wa Dira iliyoongozwa na Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Dkt. Mursali Milanzi kwenye zoezi la ukusanyaji maoni kutoka kwa viongozi wa kitaifa kuelekea kufanikisha uandaaji wa Dira ya Taifa 2050.

Spika wa <a href="/blwzanzibar/">Baraza La Wawakilishi Zanzibar</a> Mhe. Zuberi Ali Maulid amekutana na Timu kuu ya Uandishi wa Dira iliyoongozwa na Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Dkt. Mursali Milanzi kwenye zoezi la ukusanyaji maoni kutoka kwa viongozi wa kitaifa kuelekea kufanikisha uandaaji wa Dira ya Taifa 2050.
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda ametoa maoni yake juu ya Dira ya Taifa 2050, amesisitiza juu ya Matumizi ya Muda pamoja kuzisimamia kikamilifu sheria zinazotungwa ili kujenga Tanzania iliyobora na yenge misingi ya Kitaifa na Maendeleo.

Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda ametoa maoni yake juu ya Dira ya Taifa 2050, amesisitiza juu ya Matumizi ya Muda pamoja kuzisimamia kikamilifu sheria zinazotungwa ili kujenga Tanzania iliyobora na yenge misingi ya Kitaifa na Maendeleo.
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, leo amekutana na wahariri na wamiliki wa vyombo vya habari katika Ukumbi wa Mikutano wa JNICC, kwa ajili ya kujadili na kuhakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mkutano huo, uliofanyika tarehe 16 Desemba 2050.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, leo amekutana na wahariri na wamiliki wa vyombo vya habari katika Ukumbi wa Mikutano wa JNICC, kwa ajili ya kujadili na kuhakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mkutano huo, uliofanyika tarehe 16 Desemba 2050.
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Mipango ikifuatilia kwa makini uwasilishwaji Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2025/26 ulio fanywa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof Kitila Mkumbo (Mb.) leo tarehe 11 Machi, 2025 Dodoma.

Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Mipango ikifuatilia kwa makini uwasilishwaji Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2025/26 ulio fanywa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof Kitila Mkumbo (Mb.) leo tarehe 11 Machi, 2025 Dodoma.
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Mipango limefanya kikao cha pili leo, Machi 20, 2025, Jijini Dodoma, Kikao hicho kimeongozwa na Dkt. Fred Msemwa Katibu Mtendaji wa Tume, Kikao Kilipokea na kujadili utekelezaji wa Bajeti ya 2024/25 na mapendekezo ya Bajeti ya 2025/26.

Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Mipango limefanya kikao cha pili leo, Machi 20, 2025, Jijini Dodoma, Kikao hicho kimeongozwa na Dkt. Fred Msemwa Katibu Mtendaji wa Tume, Kikao Kilipokea na kujadili utekelezaji wa Bajeti ya 2024/25 na mapendekezo ya Bajeti ya 2025/26.
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Fred Msemwa, amewafuturisha watumishi wa Tume na kuwatakia heri ya Mfungo wa Ramadhanina sikukuu njema ya Idd. Hafla hiyo, ilimefanyika 27 Desemba 2025 jijini Dodoma, ililenga kudumisha mshikamano na mahusiano mazuri ya watumishi

Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Fred Msemwa, amewafuturisha watumishi wa Tume na kuwatakia heri ya Mfungo wa Ramadhanina sikukuu njema ya Idd. Hafla hiyo, ilimefanyika 27 Desemba 2025 jijini Dodoma, ililenga kudumisha mshikamano na mahusiano mazuri ya watumishi
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Fred Msemwa amekutana na Kamishna Mkuu wa TRA, Bw. Yusuph Mwenda kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kodi na mipango ya maendeleo. Mazungumzo haya yamefanyika leo 14 Aprili 2025, Dar es Salaam.

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Fred Msemwa amekutana na Kamishna Mkuu wa TRA, Bw. Yusuph Mwenda kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kodi na mipango ya maendeleo. Mazungumzo haya yamefanyika leo 14 Aprili 2025, Dar es Salaam.
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Serikali yaweka matarajio makubwa kwa Tume ya Taifa ya Mipango kusimamia maendeleo ya kiuchumi kulingana na mahitaji ya wananchi na jiografia ya nchi. Spika Dkt. Tulia amesema hayo baada ya kukutana na Dkt. Fred Msemwa leo Aprili 16, 2025 Bungeni, Dodoma. Dr. Tulia Ackson fred msemwa

Serikali yaweka matarajio makubwa kwa Tume ya Taifa ya Mipango kusimamia maendeleo ya kiuchumi kulingana na mahitaji ya wananchi na jiografia ya nchi. Spika Dkt. Tulia amesema hayo baada ya kukutana na Dkt. Fred Msemwa leo Aprili 16, 2025 Bungeni, Dodoma. <a href="/TuliaAckson/">Dr. Tulia Ackson</a> <a href="/fredmsemwa/">fred msemwa</a>
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba na ujumbe kutoka Tanzania wamekutana na Benki ya Dunia leo Aprili 22, 2025 Washington DC kujadili ufadhili wa miradi ya maendeleo. Ameambatana na Stanslaus Nyongo, Dkt. Fred Msemwa (Tume ya Mipango), Bw. Tutuba (BoT), Dkt. Mwamba (Hazina).

Waziri wa Fedha Dkt. <a href="/mwigulunchemba/">Mwigulu Nchemba</a> na ujumbe kutoka Tanzania wamekutana na Benki ya Dunia leo Aprili 22, 2025 Washington DC kujadili ufadhili wa miradi ya maendeleo.

Ameambatana na <a href="/StanslausNyongo/">Stanslaus Nyongo</a>, Dkt. Fred Msemwa (Tume ya Mipango), Bw. Tutuba (BoT), Dkt. Mwamba (Hazina).
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

“Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameanzidha Tume ya Taifa ya Mipango ili kuimarisha Uchumi na Mipango ya Maendeleo” Kitila Mkumbo (PhD)

“Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameanzidha Tume ya Taifa ya Mipango ili kuimarisha Uchumi na Mipango ya Maendeleo”
<a href="/kitilam/">Kitila Mkumbo (PhD)</a>
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Dkt. Fred Msemwa, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, ashiriki mazungumzo kuhusu ushirikiano wa maendeleo kati ya Tanzania na Benki ya Dunia, pembeni ya Mikutano ya Kipupwe ya IMF & WB, Washington D.C. Mazungumzo yajikita kwenye IDA 21 na miradi ya maendeleo.

Dkt. Fred Msemwa, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, ashiriki mazungumzo kuhusu ushirikiano wa maendeleo kati ya Tanzania na Benki ya Dunia, pembeni ya Mikutano ya Kipupwe ya IMF &amp; WB, Washington D.C. Mazungumzo yajikita kwenye IDA 21 na miradi ya maendeleo.
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Watumishi wa Tume ya Taifa ya Mipango wameungana na wengine kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani kwa kushiriki maandamano kitaifa mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Singida, Mei 1, 2025.

Watumishi wa Tume ya Taifa ya Mipango wameungana na wengine kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani kwa kushiriki maandamano kitaifa mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Singida, Mei 1, 2025.
Planning Commission_Tanzania (@planning_tz) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Blandina Buganzi Kilama kuwa Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango anayeshughulikia biashara na ubunifu kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Mei, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Blandina Buganzi Kilama kuwa Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango anayeshughulikia biashara na ubunifu kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Mei, 2025.