🦁PeterLeah🇹🇿 (@peterleah18) 's Twitter Profile
🦁PeterLeah🇹🇿

@peterleah18

@danielmkisi2024 | Shabiki wa @Arsenal | Simba 🦔|Natamgaza biashara kwa bei poa|0767911056/0626992648

ID: 988314666676965376

calendar_today23-04-2018 07:12:33

208,208K Tweet

67,67K Followers

40,40K Following

🦁PeterLeah🇹🇿 (@peterleah18) 's Twitter Profile Photo

1 Mambo ya Nyakati 17:16 Ndipo akaingia Daudi mfalme, akaketi mbele za BWANA; akasema Mimi ni nani, Ee BWANA Mungu, na nyumba yangu ni nini, hata umenileta hata hapa?

SikilizaTogolani (@sikilizatogolan) 's Twitter Profile Photo

"Kipimo cha wema wako si kuwarudishia wema waliokufanyia wema bali kuwafanyia wema usiowajua wala wasiokudai wema". ~Togolani Mavura.

"Kipimo cha wema wako si kuwarudishia wema waliokufanyia wema bali kuwafanyia wema usiowajua wala wasiokudai wema". ~Togolani Mavura.
EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#PICHA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu amewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro tarehe 7 Desemba, 2023 tayari kuelekea Katesh wilayani Hanang kulipotokea maafa ya mafuriko makubwa. #MaafaManyara #EastAfricaTV

#PICHA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> amewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro tarehe 7 Desemba, 2023 tayari kuelekea Katesh wilayani Hanang kulipotokea maafa ya mafuriko makubwa.

#MaafaManyara 
#EastAfricaTV
Chezalive (@chezalive) 's Twitter Profile Photo

BREAKING: Wachezaji Walioteuliwa kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Januari Ligi Kuu Uingereza. Nani Anastahili ?🤷‍♂️

BREAKING: Wachezaji Walioteuliwa kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Januari Ligi Kuu Uingereza.

Nani Anastahili ?🤷‍♂️
Radio Maria Tanzania (@radiomariatz) 's Twitter Profile Photo

NIFUNGE NINI KWARESIMA.? • Hili ni swali tunalojiuliza wengi, ila majibu yake ni kama ifuatavyo: 1. Funga dhambi upate utakatifu. 2. Funga huzuni upate furaha. 3. Funga majivuno upate utukufu. 4. Funga wivu upate baraka. 5. Funga kinyongo upate faraja.

NIFUNGE NINI KWARESIMA.?
• Hili ni swali tunalojiuliza wengi, ila majibu yake ni kama ifuatavyo:
1. Funga dhambi upate utakatifu.
2. Funga huzuni upate furaha.
3. Funga majivuno upate utukufu.
4. Funga wivu upate baraka.
5. Funga kinyongo upate faraja.