profile-img
Peter Madeleka

@PMadeleka

Chief Legal Counsel at Stalwart Law Chambers

calendar_today29-04-2021 08:28:16

6,4K Tweets

85,0K Followers

5,5K Following

Peter Madeleka(@PMadeleka) 's Twitter Profile Photo

Katika NCHI nyingi za AFRIKA, kusini mwa Jangwa la Sahara, MAHAKAMA zinapenda KUJIDANGANYA kwamba ziko HURU wakati ambapo wananchi WANAONA na KUAMINI kwamba MAHAKAMA hizo, kutokana na Matendo, HAZIKO HURU. Ieleweke kwamba AMANI ni TUNDA la HAKI.

Katika NCHI nyingi za AFRIKA, kusini mwa Jangwa la Sahara, MAHAKAMA zinapenda KUJIDANGANYA kwamba ziko HURU wakati ambapo wananchi WANAONA na KUAMINI kwamba MAHAKAMA hizo, kutokana na Matendo, HAZIKO HURU. Ieleweke kwamba AMANI ni TUNDA la HAKI.
account_circle