Hakimu_Wa_Ghetto⚖️
@OmarChai001
Human Rights Activist , Mentor ,T.O.T,GBV champion & award winning 2022, Youth Champion , Director @kcyg001 .
ID:808630177521631232
13-12-2016 11:10:32
1,1K Tweets
1,1K Followers
511 Following
'Bado unalala mpaka saa nne na kushinda maskani na shida ya laki kwenu mnachanga ukoo mzima poa meneja.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Usisahau kuzitimiza zile ahadi ambazo
ulikuwa ukimuahidi Mungu katikati ya maombi yako, ni deni jitahidi ulilipe.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Kabla huja mchukia mtu, jiulize kwanza una msaada gani kwenye maisha yake?.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Mafanikio huja na kipande flani, cha vita za hapa na pale usisahau kusali kila siku.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Ajabu nyingine ni kwamba watu wanauwezo wa kuamua kukuchukia hata kwa makosa yao wenyewe.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Siku hizi watu wanajenga urafiki kwa kusimuliana siri za watu wengine. Kuwa makini sana na mtu unayemuelezea mambo yako.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Usizime mshumaa wa mtu mwingine, haitafanya wa kwako ung'aze sana. Acha yote iwake ili mwangaza uwe mkubwa.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Sio kwamba wanachukia unachokifanya, wanapenda .
Ila wanachukia kwa sababu wewe ndio unafanya .'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Sehemu ngumu katika maisha ya mafanikio ni kupata sehemu yenye watu watakao furahia mafanikio yako.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Chuki na roho mbaya zako binafsi haibadilishi mafanikio ya mwengine hadi Mungu atake na aridhie.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Kuwa makini sana pindi unapolazimishwa uwe na uadui na mtu ambaye hajakukosea kitu. Wema unamuendelezo ila ubaya una mwisho wake.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Katika hatua za maisha yako kuna watu utawaacha na kuna watu utawakuta, usiwadharau uliowaacha na usiwaabudu utakaowakuta.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Najua mushaota ndoto tofauti tofauti ila nauliza. Hivi kuna mtu amewahi kuota ndoto anaoga.?'🤔😅
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Ukitaka kuepuka mengi maishani mwako, Hakikisha tamaa uliyonayo haizidi uwezo wako wa mfukoni.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Sisi ndio wale tuliofika mwisho. Lakini bado Mungu akatupatia mwanzo mpya.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
Collaborative engagement provides opportunities for learning and growth. Reflecting on experiences and seeking ways to improve enhances the effectiveness and impact of future collaborations. SOS Children's Villages in Kenya KwachaAfrika Mombasa County Ministry of Health Min. of Youth Affairs, Creative Economy & Sports SUPKEM
'Sio kila aliye karibu na wewe anakupenda. Kuna baadhi ya watu hawawezi kukulenga ukiwa mbali nao ni lazima wasogee karibu yako kwanza.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️
'Matatizo inabidi ya kupate ili ujue, uliowabeba moyoni mwako ni watu ama ni viatu.'
#Hakimu_Wa_Ghetto ⚖️