
MSLegalAidCampaign
@mslacampaign
Kampeni ya utoaji huduma ya Msaada wa Kisheria kwa wanyonge iliyopewa jina la Mama Samia legal Aid Campaign.
ID: 1624087509931110402
https://www.mslac.or.tz 10-02-2023 16:47:27
1,1K Tweet
1,1K Followers
735 Following








Rais Samia Suluhu kama mlezi wa haki za binadamu, usawa na sheria kwa mujibu wa Katiba. Anaakisi uongozi unaojikita katika misingi ya utawala wa sheria, ulinzi wa haki, na maendeleo ya kijamii yanayojali utu wa kila raia. #mslac #Kazinaututunasongambele #katibanasheria












