Sijazuiwa wala hakuna amri yoyote ya zuio la mimi kufanya kipindi.
Propaganda za kuzuiwa na mahakama sio za kweli.
Nafikiri waandaaji wa kipindi wanapaswa kuwambia watazamaji na Watanzania nani amewapa maelekezo hayo ya kunizuia.
Pili nani amezuia mgeni mwingine walieniambia
Watu wanasema ajira mbaya, am here to tell you kama umepata nafasi ya kuajiriwa ajiriwa ujifunze vitu na itakusaidia katika ukuaji wako kabla hujaamua kuanzisha kitu chako, katika ajira utajifunza vitu kama mikataba ya wafanyakazi, haki na wajibu na namna ya kupigania malengo🤝🙏
Kwanza nianze kwa kutoa shukrani kwa MUNGU kwa kuiona siku ya 27.6.2025. Hii ni siku ambayo nilizaliwa upya tena chini ya jua.
Baada ya kupigwa RISASI YA KICHWA na kuachwa kama maiti niwe chakula cha MAMBA NA VIBOKO pembezoni mwa mto huko MBUGA YA KATAVI lakini vyote havikuweza
Tukiweza, tuwatoe yatima kwenye uyatima. Viroba vya mchele na juisi vitawasogezea siku ila bado watabaki yatima. Ieleweke, ni jambo jema, silipingi.. and by all means tuwape hizo faraja. Ila tukiweza, tuwatoe kwenye uyatima.
Kwa mujibu wa Katiba, Maldives ndiyo nchi pekee duniani yenye asilimia 100 ya rai wake ni waumini wa dini ya Kiislamu.--@unesco
#worldfacts | #mulika255
Watu wengi wanafurahia sana, wanapoona anayegombea/aliyeteuliwa/aliyechaguliwa kuwa kiongozi fulani ni mtu wanayefahamiana naye au ni mtu wake wa karibu au ana maslahi naye.
Hata kama mtu huyo hatoshi kwenye nafasi hiyo ya uongozi, lakini kwakuwa ni mtu wake wanafahamiana,
Namtukuza M/MUNGU kwajili Tumefikia 3,267,800
Zinaitajika pesa Million 107,734,920/= sawa na (Dollar elfu 40 za kimarekani)
NAWAOMBA/NAKUOMBA WEWE UWE SABABU YA MIMI KUSIMAMA Mpesa +255766180656
Tigo pesa +255718626642
MISHALY .S. SUMARY
Bank account CRDB :0152078706601
Google Pixel 6Pro
128GB|Ram 12GB
Black Color
Tsh 490,000/= tzs
NB:Mikoani tunatuma malipo
Baada ya kupokea
Exchange & Top up allowed
📞/Whatsapp 0683678977
KINDLY REPOST🔥☄️🎉
Nilikua sijui kuachisha mtoto kunyonya kama ni vita😀😀
Usiku bhn Peter amenilamba kofi na kichwa juu
Siku hizi 2 alikua mpole jana uvumilivu ukamshinda😀😀