Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile
Kizimkazi

@mamasamia2025

Kiongozi jasiri, mchapakazi, mzalendo wa kweli, mwenye huruma na unyenyekevu. Mbeba maono wa CCM 2025โ€“2030.

ID: 1872004882225315840

calendar_today25-12-2024 19:42:23

147 Tweet

407 Takipรงi

87 Takip Edilen

Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Tanzania sio Coup d'etat ni Nchi ya kidemokrasia. Chagua Samia Mitano Tena ๐Ÿ‘Š Tanzania haiwezi kutawaliwa na Jeshi MILELE. Endeleeni kuota mchana kujifariji na Tanzania yenu ya mtandaoni. Tanzania halisi ya mitaani inampenda sana Rais-Maendeleo, Dkt Samia Suluhu. Oktoba 29,

Tanzania sio Coup d'etat ni Nchi ya kidemokrasia.
Chagua Samia Mitano Tena ๐Ÿ‘Š 

Tanzania haiwezi kutawaliwa na  Jeshi MILELE. Endeleeni kuota mchana kujifariji na Tanzania yenu ya mtandaoni. Tanzania halisi ya mitaani inampenda sana Rais-Maendeleo, Dkt <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a>.

Oktoba 29,
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Hizi ni tiki kwa Mama kutoka Mwanza. Furaha ya wasukuma ni Mama Samia Suluhu Hassan. Mwitikio ni huu nchi nzima sio Wa kawaida Kesho Tunatiki Samia.

Hizi ni tiki kwa Mama kutoka Mwanza.
Furaha ya wasukuma ni Mama Samia Suluhu Hassan.

Mwitikio ni huu nchi nzima sio Wa kawaida 
 Kesho Tunatiki Samia.
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Tanzania Ipo salama Chini ya Mama Samia Suluhu Hassan Mama Samia uwasamehe watanzania waliokukosea Kwa kuharibu Nchi Yao wenyewe kwenye Maandamano ya vurugu. Aliyewashawishi Yuko nje ya Nchi ni Mange, Sativa na Maria. MAMA WASAMEHE SANA Rais Wetu M/Mungu akulinde

Tanzania Ipo salama Chini ya Mama Samia Suluhu Hassan 

Mama Samia uwasamehe watanzania waliokukosea Kwa kuharibu Nchi Yao wenyewe kwenye Maandamano ya vurugu.

Aliyewashawishi Yuko nje ya Nchi ni Mange, Sativa na Maria.

MAMA WASAMEHE SANA 
Rais Wetu M/Mungu akulinde
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Siku ya baraka na shukrani kwa Mwenyezi Mungu. Tusichochee vurugu. RAIS SAMIA SULUHU kipenzi Chetu anapenda sana amani na utulivu.

Siku ya baraka na shukrani kwa Mwenyezi Mungu.

Tusichochee vurugu.

RAIS SAMIA SULUHU kipenzi Chetu anapenda sana amani na utulivu.
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana Mama yetu, Dkt. Samia Suluhu ๐Ÿ’ Umeandika ukurasa mpya wa historia ya taifa letu. Mwenyezi Mungu akupe afya, hekima na nguvu kuendelea kutuongoza. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Safari yako si rahisi imejaa changamoto, uvumilivu na hekima. Umeonesha dunia kuwa uongozi ni huduma, si nguvu.

Hongera sana Mama yetu, Dkt. <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> ๐Ÿ’
Umeandika ukurasa mpya wa historia ya taifa letu.
Mwenyezi Mungu akupe afya, hekima na nguvu kuendelea kutuongoza. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Safari yako si rahisi  imejaa changamoto, uvumilivu na hekima.
Umeonesha dunia kuwa uongozi ni huduma, si nguvu.
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Haikuwa rahisi bali ni kwa Neema na Rehema zake" Asante Mungu wa Mbinguni hili nalo limepita, Hongera sana Mama yetu Mh Rais Samia Suluhu Hassan kwakuchaguliwa nakutangazwa kama Rais wa JMT tunatarajia mengi na makubwa kutoka kwako katika kipindi Chako kingine..โœŠ๐Ÿซก

Haikuwa rahisi bali ni kwa Neema na Rehema zake" Asante Mungu wa Mbinguni hili nalo limepita, Hongera sana Mama yetu Mh Rais Samia Suluhu Hassan kwakuchaguliwa nakutangazwa kama Rais wa JMT tunatarajia mengi na makubwa kutoka kwako katika kipindi Chako kingine..โœŠ๐Ÿซก
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿงต ๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ 100 ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—ญ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ข๐—ก๐—š๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ช๐—”๐—ž๐—˜, ๐—ฅ๐—”๐—œ๐—ฆ ๐——๐—ž๐—ง. ๐—ฆ๐—”๐— ๐—œ๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—จ ๐—›๐—”๐—ฆ๐—ฆ๐—”๐—ก... 1๏ธโƒฃ Ameweka msingi imara wa mageuzi katika sekta ya afya kwa kuhakikisha huduma bora zinapatikana kwa wote. 2๏ธโƒฃ Hatua ya Serikali kugharamia

๐Ÿงต ๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ 100 ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—ญ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ข๐—ก๐—š๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ช๐—”๐—ž๐—˜, ๐—ฅ๐—”๐—œ๐—ฆ ๐——๐—ž๐—ง. ๐—ฆ๐—”๐— ๐—œ๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—จ ๐—›๐—”๐—ฆ๐—ฆ๐—”๐—ก...

1๏ธโƒฃ Ameweka msingi imara wa mageuzi katika sekta ya afya kwa kuhakikisha huduma bora zinapatikana kwa wote.

2๏ธโƒฃ Hatua ya Serikali kugharamia
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Safari ya kuwatumikia Watanzania kwa kipindi cha pili imeanza rasmi ni wakati wa kazi, mshikamano, na kujenga taifa lenye matumaini mapya.

Safari ya kuwatumikia Watanzania kwa kipindi cha pili imeanza rasmi  ni wakati wa kazi, mshikamano, na kujenga taifa lenye matumaini mapya.
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

R.I.P Pumzikeni kwa Amaniโค๏ธ๐Ÿ•ฏ๏ธ๐Ÿ•Š๏ธ Nyie mlikuwa kama sisi, na sisi tutakuwa kama nyie ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ™ Raha ya Milele Uwape Ee Bwana, na Mwanga wa Milele Uwaangazie, Marehemu Wote Waliofariki Kwenye Vurugu za Mange KIMAMBI ,Sativa na Maria SARUNGI, M/Mungu Hawa watu walishawishiwa waharibu

R.I.P Pumzikeni kwa Amaniโค๏ธ๐Ÿ•ฏ๏ธ๐Ÿ•Š๏ธ

Nyie mlikuwa kama sisi, na sisi tutakuwa kama nyie ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ™

Raha ya Milele Uwape Ee Bwana, na Mwanga wa Milele Uwaangazie, Marehemu Wote Waliofariki Kwenye Vurugu za Mange KIMAMBI ,Sativa na Maria SARUNGI,
 M/Mungu Hawa watu walishawishiwa waharibu
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Rais anatoa wito wa amani na umoja kwa Watanzania. Anasisitiza hekima, upendo, uvumilivu na unyenyekevu kama nguzo za maendeleo ya taifa. Tuchague busara badala ya hasira, amani badala ya vurugu, na umoja badala ya mgawanyiko. Kazi imeanza, tuijenge Tanzania yenye upendo na

Rais anatoa wito wa amani na umoja kwa Watanzania. Anasisitiza hekima, upendo, uvumilivu na unyenyekevu kama nguzo za maendeleo ya taifa. Tuchague busara badala ya hasira, amani badala ya vurugu, na umoja badala ya mgawanyiko. Kazi imeanza, tuijenge Tanzania yenye upendo na
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Huu ndio uongozi tunaoutaka vitendo, si maneno. Ajira 5,000 ni mabadiliko makubwa yanayogusa maisha ya watu. MAMA SAMIA SULUHU ni Kiongozi mwenye Maono Sahihi Kwa Taifa

Huu ndio uongozi tunaoutaka  vitendo, si maneno. Ajira 5,000 ni mabadiliko makubwa yanayogusa maisha ya watu.

MAMA SAMIA SULUHU ni Kiongozi mwenye Maono Sahihi Kwa Taifa
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia Suluhu Hassan Samia Suluhu ameendelea kuonyesha uongozi wa kipekee katika kukuza diplomasia ya kimataifa. Kupokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais Putin ni ishara ya mafanikio yake katika kuimarisha mahusiano kati ya Tanzania na Urusi. Uongozi huu wa Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a>  ameendelea kuonyesha uongozi wa kipekee katika kukuza diplomasia ya kimataifa.

 Kupokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais Putin ni ishara ya mafanikio yake katika kuimarisha mahusiano kati ya Tanzania na Urusi.
 Uongozi huu wa Rais Samia
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Mwenye dira yetu. Mtekelezaji wetu. Tegemeo letu. Mshauri wetu. Mfano wetu. Tunu yetu. Nahodha wetu. Mlinzi wetu. Tumaini letu. Mwendeshaji wetu. Mwakilishi wetu. Sauti yetu. Kiongozi wa haki. Mtu wa huduma. Mpendwa wa watu.

Mwenye dira yetu.
Mtekelezaji wetu.
Tegemeo letu.

Mshauri wetu.
Mfano wetu.
Tunu yetu.

Nahodha wetu.
Mlinzi wetu.
Tumaini letu.

Mwendeshaji wetu.
Mwakilishi wetu.
Sauti yetu.

Kiongozi wa haki.
Mtu wa huduma.
Mpendwa wa watu.
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Professor wa Siasa Afrika ni Msomi Mkubwa Sana Ndiyo maana anaijua Sayansi ya Leadership. - Honorary Doctorates: She has received several honorary doctorates, including: - Doctor of Letters (D.Litt) from the University of Dar es Salaam in 2022 - Doctor of Philosophy from

Professor wa Siasa Afrika ni Msomi Mkubwa Sana Ndiyo maana anaijua Sayansi ya Leadership.

- Honorary Doctorates: She has received several honorary doctorates, including:
    - Doctor of Letters (D.Litt) from the University of Dar es Salaam in 2022
    - Doctor of Philosophy from
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Taja nyingine zaidi โœ…Mpole โœ…๏ธmvumilivu โœ…๏ธMsikivu โœ…๏ธMnyenyekevu โœ…๏ธMwenye utu na huruma. Tunaenda na Dkt Samia Suluhu Hassan Hadi 2030 ๐Ÿ”ฅ

Taja nyingine zaidi

โœ…Mpole 
โœ…๏ธmvumilivu
โœ…๏ธMsikivu
โœ…๏ธMnyenyekevu 
โœ…๏ธMwenye utu na huruma.

Tunaenda na Dkt Samia Suluhu Hassan Hadi 2030 ๐Ÿ”ฅ
Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

KIONGOZI WA HAKI MPENDA HAKI BARANI AFRICA โ€œUchaguzi umekwisha, sasa tukafanye kazi ya kulijenga Taifa letu na utu wa Mtanzania.โ€

KIONGOZI WA HAKI MPENDA HAKI BARANI AFRICA 

โ€œUchaguzi umekwisha, sasa tukafanye kazi ya kulijenga Taifa letu na utu wa Mtanzania.โ€