John Pambalu
@John_Pambalu
BAVICHA National chairman, Butimba ward councillor (2015-2020), MP Candidate, Activist and entrepreneur.
01-04-2018 19:04:54
23,9K Tweets
281,9K Followers
1,3K Following
Leo amezaliwa kaka na rafiki mwema Patrick Ole Sosopi. Kitu muhimu kwa Sosopi kwa wengi wasiomjua, jamaa ni mshauri mzuri sana. Hanaga papala anaweza kukueleza kwa hili nipe muda kikubwa subira. Akikushauri kamaliza, jamaa aliumbwa na HEKIMA ya ajabu. Mungu akupe maisha marefu niga