Jamii Forums
@JamiiForums
The Home of Great Thinkers | East Africa's leading Discussion Board | Citizen Journalism
ID:49632982
http://t.me/JamiiForums 22-06-2009 13:50:07
63,8K Tweets
1,7M Followers
325 Following
Kuhakikisha Ukweli wa Taarifa kabla ya kuisambaza ni Mbinu rahisi ya kuzuia Usambazaji wa #TaarifaPotofu zinazoweza kuathiri Jamii
Hii hujumuisha kukagua taarifa husika kutoka vyanzo vingine vya Kuaminika, Kuzungumza na Wataalamu wa eneo husika, Kutumia Nyenzo za Uhakiki kama…
TANZIA: Aliyekuwa Mtayarishaji wa Video za Muziki wa Bongo Flava Nchini, Khalfani Khalimandro amefariki Dunia
#DirectorKhalfani alilazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) akiwa na tatizo la Damu kuvilia kwenye Ubongo lililomsababishia kupata Kiharusi…
UHISPANIA: Timu ya #RealMadrid imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uhispania ( #LaLiga ) ikiwa imesaliwa na michezo minne, hiyo ni baada ya kushinda magoli 3-0 dhidi ya Cadiz huku #FCBarcelona ikipigika magoli 4-2 dhidi ya Girona
Real Madrid imefikisha pointi 87, Girona…
Mbio za Ubingwa wa Ligi Kuu ya England ‘ #PremierLeague ’ zinazidi kushika kasi hasa kwa timu mbili za juu #Arsenal na #ManchesterCity ambapo zote zimeshinda katika michezo yao ya leo Mei 4, 2024 huku zikipishana kwa pointi moja
Arsenal imepata ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya AFC…
Balozi Michael Battle alisema haya katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, Mei 3, 2024 Jijini Dodoma
#JamiiForums #PressFreedom #UhuruVyomboVyaHabari #Democracy #Demokrasia