Hayati #JohnMagufuli alitoa kauli hiyo Julai 22, 2020 mbele ya Viongozi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ( #TAKUKURU ) Wilaya ya Chato Mkoani Geita baada ya kumpa taarifa kuhusu ujenzi wa Ofisi nyingine za Taasisi hiyo wakati tayari kuna jengo wameshapewa
#JamiiForums …
Kutoka Jukwaa la Siasa ndani ya JamiiForums.com, Mdau anauliza ikitokea Umekuwa na Mamlaka ya kufanya maamuzi katika Serikali, utafanya nini katika Uchumi bila kuongeza Mzigo kwa Mwananchi?
Shiriki Mjadala jamii.app/UkipataMamlaka
#JamiiForums #JFStories #Governance …
Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa #RealMadrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya #FCBarcelona
Mechi hiyo inayofahamika kwa jina la #ElClásico ilimalizika kwa Madrid kushinda magoli 2-1
Je, Mdau umemtambua mchezaji huyo ambaye mikimbio…
Je, ni kweli Adhabu ya Viboko inasaidia kuongeza Nidhamu na Uelewa kwa Mtoto?
Ungana nasi katika Mjadala na WiLDAF Tanzania ambapo tutazungumza kuhusu Athari za Viboko kwa Watoto.
Ni Aprili 30, 2024 kuanzia Saa 12:00 jioni kupitia XSpaces ya Jamii Forums
Link jamii.app/SaveTheChildren
Mdau ni movie gani inakufanya ukae mkao wa kula ukiisubiria kwa Mwaka 2024?
Taja jina la movie hiyo kwenye “comments”
Mjadala zaidi jamii.app/Movies2024
#JamiiForums #Entertainment
⚠️ Saratani ya mlango wa kizazi ni changamoto inayogharimu maisha ya wanawake wengi.
🗓️Ungana nasi jioni pamoja na #JamiiForums upate nafasi ya kupata elimu na kuuliza maswali kuhusu chanjo ya HPV.
➡️ Inayotolewa sasa bila malipo kwa mabinti wa miaka 9 hadi 14.
Jamii Forums Watu wa kanisa na chama mpaka leo kimya fikria hii kauli ingetolewa na mzanzbar