
Martin Maranja Masese
@iamartin_
Full-time Father | Sperm That Won The Race | Public Spirited | Think Deep, Don’t Sink | Cogito, ergo sum |
ID: 126657061
26-03-2010 15:32:42
148,148K Tweet
590,590K Followers
1,1K Following







Hapa ni Korogwe, mvua imenyesha tani laki tatu…. Lakini wananchi wamebaki wanamsikiliza Makamu Mwenyekiti CHADEMA John Heche akiwaeleza kwa kiwango gani MaCCM yameharibu Mkoa wa Tanga na kuwafanya wakazi wa wilaya kongwe ya Korogwe kuwa maskini kiwango cha kutisha.


Baada ya mkutano wa hadhara Tanga Mjini, CHADEMA tukiongozwa na Makamu Mwenyekiti John Heche na Katibu Mkuu MNYIKA John John tumetembelea nyumbani kwa Mzee #AliMohammedKibao na kusalimia familia. Pichani ni mjane wa Mzee Ali Kibao akilia kwa uchungu. Serikali ya MaCCM ni KATILI sana.


Kisutu Resident Magistrate’s Court in Dar es Salaam. Baada ya kumaliza ziara ya chama Kanda ya Kaskazini mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga, asubuhi hii tupo ndani ya Mahakama ya Kisutu katika kesi mbili alizopewa Tundu Antiphas Lissu. We shall never surrender to oppression


Mwenyekiti Tundu Antiphas Lissu amewasili ndani ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. #TunduLissuSioMhaini



Ukiachana na suala la Jamhuri kutaka mashahidi wa kesi dhidi ya Tundu Lissu wafichwe sura wasionekane, na taarifa ya kanisa la Ufufuo na Uzima kufutiwa usajili, habari nyingine mbaya ni The People’s Watchman na Agather Atuhaire kusema walifanyiwa vitendo vya Sodoma na Gomora wakiwa kizuizini



